The fighter till death
New Member
- Apr 25, 2023
- 2
- 1
Subiri kidogo, tuna mda mchache kufika 45[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Sina bahati
Aha ha ha ha aa samahani Kwa kucheka madamu..Natafuta mume mwenye umri kuanzia 45 na kuendelea me ni single mother nahitaji mume wa kuzeeka naye Sasa akiwa single na watoto itapendeza
Mimi ni muajiriwa serikalini.
Awe na hofu ya Mungu
Awe pia mpambanaji
Ajue majukumu yake kama baba wa familia
Kwa upande wangu Nina miaka 40
Nilishawahi olewa ila nimedivorce Kwa miaka minne Sasa
Jifunze kuheshimu maamuzi ya wengine na uache kejeliAha ha ha ha aa samahani Kwa kucheka madamu..
Lea tu wano umri wote huo mume wa nini.
.Huo ni umri wa wajane kabisa
Nipo my dear njoo pm tuyajengeHello
Nakupigia nimeona sipo sehemu bzurinicheki 0625 598476