Nenda kapime kojo hilo, inawezekana ww ndo unamimba!!
Oh, kumbe! Sasa kuna uhusiano gani hasa katika hili suala la mimba na mwanaume kutapika etc?CBZ hiyo kitu inatokea mara nyingi tu, hata mie mimba yangu ya pili ilikuwa hivyo, zaidi kwangu nilikuwa napenda kula mihogo ya kuchoma, yeye yale ya kwangu ya mimba ya kwanza yalimuhusu, kwanza tulijua cjui ni malaria au nini, hakuna lolote kuja kush2kia nina ujauzito, aliendelea hvyo mpaka miezi 6 ya ujauzito wangu mambo yakawa yanapungua kidogo, kama kutapika asubuhi kulimuisha kabisa.
CBZ hiyo kitu inatokea mara nyingi tu, hata mie mimba yangu ya pili ilikuwa hivyo, zaidi kwangu nilikuwa napenda kula mihogo ya kuchoma, yeye yale ya kwangu ya mimba ya kwanza yalimuhusu, kwanza tulijua cjui ni malaria au nini, hakuna lolote kuja kush2kia nina ujauzito, aliendelea hvyo mpaka miezi 6 ya ujauzito wangu mambo yakawa yanapungua kidogo, kama kutapika asubuhi kulimuisha kabisa.
Hayo mambo Sumbawanga sio mageni kabisa.
Mke akichoka huwashauriana na mumewe then vurugu zote za mimba huamia kwa mwanaume hata uchungu pia kasoro kujifungua tu.
Nyamayao are you serious on this? yani nikipata kaujauzito inshallah baba mtoto anaweza pata hizo shuruba na mie nikawa swafi tu?? I love this.
cbz hiyo kitu inatokea mara nyingi tu, hata mie mimba yangu ya pili ilikuwa hivyo, zaidi kwangu nilikuwa napenda kula mihogo ya kuchoma, yeye yale ya kwangu ya mimba ya kwanza yalimuhusu, kwanza tulijua cjui ni malaria au nini, hakuna lolote kuja kush2kia nina ujauzito, aliendelea hvyo mpaka miezi 6 ya ujauzito wangu mambo yakawa yanapungua kidogo, kama kutapika asubuhi kulimuisha kabisa.
Ikawaje siku ulipo ingia labour?
haaa jamani kwanini sumbawanga tu, mbona mie yalinitokea na watu wa karibu yangu yanawatokea sana tu.....hapo kwenye red hakuna kitu kama hicho, uchungu umuhusu mwanaume?...
Duh...! Hii kali kwelikweli....! Labda sayansi bado haijafika huko. Mie yangu macho na masikio....! Lakini jamani nipo Sumbawanga, nifanyeje haya yasinitokee?
ningependa kila mwanaume imtokee hiyo japo tusaidiane majukumu, wewe mihangaiko hiyo mie pain ya labour.
Duh...! Hii kali kwelikweli....! Labda sayansi bado haijafika huko. Mie yangu macho na masikio....! Lakini jamani nipo Sumbawanga, nifanyeje haya yasinitokee?
Duh...! Hii kali kwelikweli....! Labda sayansi bado haijafika huko. Mie yangu macho na masikio....! Lakini jamani nipo Sumbawanga, nifanyeje haya yasinitokee?
Tehe tehe!!! dont push back your plans kwasababu ya hii kitu! uwongo mtupu!Nyamayao are you serious on this? yani nikipata kaujauzito inshallah baba mtoto anaweza pata hizo shuruba na mie nikawa swafi tu?? I love this.