Ule mpango wa UDOM nitautekeleza pindi chuo kitakopofunguliwa baada ya uchaguzi kwahiyo majaribio yangu yataanzia hapo mpwa natumaini utakuwepo kuangalia kama vipengele vya kwenye katiba navitimiza vilivyo
Asante Nimekumiss lakini..:kiss::kiss:
Mpwa umemaliza ile homewrok lakini?:confused2::becky:
Mpwa umemaliza ile homewrok lakini?:confused2::becky:
Kumbe mnajuana :confused2:
Fidel80 Kaizer ni mwalimu wangu wa mazoezi ya viungo
Tehe tehe!!! dont push back your plans kwasababu ya hii kitu! uwongo mtupu!
Ninywe mm ulewe wewe??!! uliona wapi!
Sawa bana, lakini bado haijaniingia akilini! sijapata udadavuzi wa kitaalamu....Bigirita, Usikatae inatokea. Mie pia ilinitokea kipindi wife alipokuwa na ujauzito wa first born.Yeye hakuwa na tabia za kuwa na kichefu chefu wala kutapika ila mimi baba ndo ilikuwa kasheshe, kila asubuhi nahisi kutapika tu mpaka mimba ilipofikisha miezi km 5 ndo hali hiyo ikakoma. Sikuwa na Maralia nilipoenda kupima. Kwa hiyo sishangai kwa ndugu hapo hiyo khari kumtokea.
Usicheze na mabinti wa shule na wake za watu, hutapatwa na balaa hilo.Duh...! Hii kali kwelikweli....! Labda sayansi bado haijafika huko. Mie yangu macho na masikio....! Lakini jamani nipo Sumbawanga, nifanyeje haya yasinitokee?
.......Bado utaalamu unahitajika ili tupate sababu za kisayansi.Bigirita, Usikatae inatokea. Mie pia ilinitokea kipindi wife alipokuwa na ujauzito wa first born.Yeye hakuwa na tabia za kuwa na kichefu chefu wala kutapika ila mimi baba ndo ilikuwa kasheshe, kila asubuhi nahisi kutapika tu mpaka mimba ilipofikisha miezi km 5 ndo hali hiyo ikakoma. Sikuwa na Maralia nilipoenda kupima. Kwa hiyo sishangai kwa ndugu hapo hiyo khari kumtokea.
haaa jamani kwanini sumbawanga tu, mbona mie yalinitokea na watu wa karibu yangu yanawatokea sana tu.....hapo kwenye red hakuna kitu kama hicho, uchungu umuhusu mwanaume?...[/QUOTE]
Inatokea japo si mara nyingi kama kupata kichefuchefu n.k.
Inayoufuata sina ushahidi ila nilisikia kisa ambacho jamaa aliikataa mimba kwa msichana mmoja. Wazee walipomwita kijana kumsihi aseme ukweli jamaa kakataa katu katu hata alipoapizwa. Wakati binti anajifungua jamaa ndie aliekuwa anagaragara kwa uchungu, akaulizwa kulikoni? Akakiri kuwa mimba ilikuwa yake.
halafu mnatengeneza kengine na switi cassava wako?:A S check_03:
haaa jamani kwanini sumbawanga tu, mbona mie yalinitokea na watu wa karibu yangu yanawatokea sana tu.....hapo kwenye red hakuna kitu kama hicho, uchungu umuhusu mwanaume?...[/QUOTE]
Inatokea japo si mara nyingi kama kupata kichefuchefu n.k.
Inayoufuata sina ushahidi ila nilisikia kisa ambacho jamaa aliikataa mimba kwa msichana mmoja. Wazee walipomwita kijana kumsihi aseme ukweli jamaa kakataa katu katu hata alipoapizwa. Wakati binti anajifungua jamaa ndie aliekuwa anagaragara kwa uchungu, akaulizwa kulikoni? Akakiri kuwa mimba ilikuwa yake.
hayo tena makubwa.....
IT TAKES A SEC TO SAY I LOVE U, BUT A LIFETIME TO SHOW IT......[nimeipenda 'signature yako'...]:confused2:
sema my love, weekend ilikupelekaje?
We dadangu mnoko hujambo? Hebu turudi kwenye mada basi. Haya mambo ya kuitana my love huku, wengine tuna wivu mpaka kwa dada zetu LOLsema my love, weekend ilikupelekaje?
We dadangu mnoko hujambo? Hebu turudi kwenye mada basi. Haya mambo ya kuitana my love huku, wengine tuna wivu mpaka kwa dada zetu LOL
cjambo, mambo yako vipi! mie mwenyewe nina wivu kwako mpaka bac, ndio mana unanaonaga ckubaligi wifi achezewe rafu.....hajambo mama M?