arabianfalcon
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 2,285
- 584
Kwenu wana JF,
Kuna jambo limenikita kwenye roho, niko na mdogo wangu ana mumewe wana watoto wa4 lakini mume wake tabia yake sio nzuri,
Mkewe alipo kwenda nyumbani kutembea rafika wa mdogo wangu wa kike alienda nyumbani kwa mdogo wangu kumuomba shemeji
Eti hana sehemu ya kukaa anaomba ampe hifadhi,yule shemeji bila hata kumuliza mkewe kamkaribisha yule dada akawa ndio mpishi
Na sijui kama mengine pia alikua hafanyi,mdogo wangu amekuja kuambiwa na mwanae kama aunty yuko hapa since last month,
Mdogo wangu kumuliza mumewe anasema unajua ww uko mbali je nikiumwa huyu si ndio atanipeleka hospital, ww uko mbali,
Sio kama anaumwa mzima,zaid anasema mke wangu mm sina nia mbaya na ww usisikilize watu huyu akipata kwake ataondoka.
Huyu dada asokua na haya hata hakuona haya sijui lengo lake nini,wana Jf naomba msaada wenu kwenye hili.
Kuna jambo limenikita kwenye roho, niko na mdogo wangu ana mumewe wana watoto wa4 lakini mume wake tabia yake sio nzuri,
Mkewe alipo kwenda nyumbani kutembea rafika wa mdogo wangu wa kike alienda nyumbani kwa mdogo wangu kumuomba shemeji
Eti hana sehemu ya kukaa anaomba ampe hifadhi,yule shemeji bila hata kumuliza mkewe kamkaribisha yule dada akawa ndio mpishi
Na sijui kama mengine pia alikua hafanyi,mdogo wangu amekuja kuambiwa na mwanae kama aunty yuko hapa since last month,
Mdogo wangu kumuliza mumewe anasema unajua ww uko mbali je nikiumwa huyu si ndio atanipeleka hospital, ww uko mbali,
Sio kama anaumwa mzima,zaid anasema mke wangu mm sina nia mbaya na ww usisikilize watu huyu akipata kwake ataondoka.
Huyu dada asokua na haya hata hakuona haya sijui lengo lake nini,wana Jf naomba msaada wenu kwenye hili.