The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
- Thread starter
-
- #21
Kiliumananmeona hadi mtoto kaungua usoni sasa sijui lengo lilikua nikuteketeza familia yote yani inasikitisha sana picha znatisha 🥲 mwamba apumzike kwa aman dah.
Nimeolewa mkuu ndoa ni tamu mkuu karibu acha kuwa msela maviAchana na kuolewa.
Njoo tunyanduane when time comes it's over na kila mtu anakula 50 zake..
#YNWA
Kwa picha hii ya kwenye avatar unaonekana nawe una wivu sana.Mapenzi yamekuwa ni vita mimi naogopa sana Mungu ni epushe[emoji2955]
Yes ninao kama Wanyama wanao mimi ni nani nisiwe na wivuKwa picha hii ya kwenye avatar unaonekana nawe una wivu sana.
Nabisha.Nimeolewa mkuu ndoa ni tamu mkuu karibu acha kuwa msela mavi
Kama utaki sio lazimaNabisha.
#YNWA
Yaa keep a shooter on your side just in case a bitch tryna do you wrongMademu wa siku hizi sio wakuwaamini always keep the gun around just to be safe
Ukiwahiwa tu umeisha hata uwe na gun kiunoniMademu wa siku hizi sio wakuwaamini always keep the gun around just to be safe
🤣🤣🤣🤣🤣Aniuwe tu ila sio kwa kunichoma motoo[emoji28][emoji28][emoji28]