anapiga kimoja ndani ya dakika tatu, kisha baada ya dak 11 anapiga kingine tena, anafanya hvyo hata mara 5 kwa masaa ma2harudii tena mpk kesho au mpk ipite week ndo stimu zije au ye akipiga moja tu nguvu tena hana au hawezi kusimamisha tena mpk kesho
yupo vizuri huyo. ni tamsa zako tuu ndio zinakusumbua.anapiga kimoja ndani ya dakika tatu, kisha baada ya dak 11 anapiga kingine tena, anafanya hvyo hata mara 5 kwa masaa ma2
Sasa Wewe ulikua unatakaaje labda,, cha kwanza apige kwa nusu saa, cha pili dakika 45, cha tatu saa moja na nusu, cha nne masaa mawili cha tano masaa matatu au?? Au huwa hakufikishi Kibo na Mawenzi?🙄😳anapiga kimoja ndani ya dakika tatu, kisha baada ya dak 11 anapiga kingine tena, anafanya hvyo hata mara 5 kwa masaa ma2
Engineer msomi, 36 years old. Yuko mascular, jitu la miraba minne, urefu futi sita na nchi kumi, manish face, kichwani yuko njema na mfuko umenona.
Kitandani bao 1 ndàni ya dakika tatu, je nufanyeje aweze kwenda hadi nusu saa ili nfurahi?Kala asali na vitunguu saumu hamna nafuu.
Yesi aridhike na alivyovikutaHuwezi kupewa vyote...
Hawezi kupew vyote ridhika na ulichonacho maisha yanasonga Mungu si AthumaniEngineer msomi, 36 years old. Yuko mascular, jitu la miraba minne, urefu futi sita na nchi kumi, manish face, kichwani yuko njema na mfuko umenona.
Kitandani bao 1 ndàni ya dakika tatu, je nufanyeje aweze kwenda hadi nusu saa ili nfurahi?Kala asali na vitunguu saumu hamna nafuu.
tumieni squeeze technic.anapiga kimoja ndani ya dakika tatu, kisha baada ya dak 11 anapiga kingine tena, anafanya hvyo hata mara 5 kwa masaa ma2