Miguna Elly
Member
- May 31, 2018
- 21
- 28
- Thread starter
-
- #41
Ameenda kwa aliyemuambukizaAliyekuambukiza umempeleka wapi??
Etii ungemtafuta muathirika mwenzako, je uliathirika kunywa chai mliyeambukizana si mkaoane!
ni Kweli mkuuMkuu nadhani huwatendei haki watu hapa, hata wewe huko salama kama unavyo dhani
Asantepambana tu ndugu...utapata tu wengi!
Ndio yenyeweJF hiiii!!!!
ni Kweli mkuu nashukuru sanaMara ya kwanza naenda kupima kabla sijapima nilijiuliza ma swali mengi sana na yote nkayapatia majibu.....
Moja ya jibu ni kua kama ningekuta nshaasirika basi ninge mtafuta mwenzangu ambaye ana hali kama yangu.....
Nakupongeza sana kwa uamuzi wa kijasiri, Mungu akujaalie upate sana na hitaji lako .
ni vizuri kujua afya mkuuSijui nikapime??
Ushapata mume?ni vizuri kujua afya mkuu
ndioUshapata mume?
[emoji23][emoji23]Sijui nikapime??
Maswali ya kejeli si mazuri Hakuna anayependa kupata ugonjwa huuInaonekana kaugonjwa hako ulikapata bahati mbaya eti?
Sijakukejeli shem...umewaza kimwendokasi! Ukimwi ni wetu sote na umewekwa sehemu sensitive ndo maana nikauliza, just in case!Maswali ya kejeli si mazuri Hakuna anayependa kupata ugonjwa huu
Wacha tuwe na hesima mkuu, kuna watu wanazaliwa na hii HIV, so sio mpaka mtu akupe hii hiv, tena unaweza pata kwa njia ya kuongezwa damu ambao haijapimwa poa, ama njia ingine sio mpaka awe huyu dada alilala na mtu, kumbuka huyu binti ni dada ya mtu, mtoto wa mtu na binamu wa mtu, so acha tumupatie hesima yake, barikiwa my freandEtii ungemtafuta muathirika mwenzako, je uliathirika kunywa chai mliyeambukizana si mkaoane!
Mufundise dada, sio mpaka uwe ulilala na mtu, kuna watu wanazaliwa na wazazi ambao tayari wako na hiv, so si poa huu mtu kukutusi, hakuna anae nunua ukimwi kwa supermarketMaswali ya kejeli si mazuri Hakuna anayependa kupata ugonjwa huu