AMINATA 9
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 2,120
- 642
nina rafiki yangu kaniomba ushauri na mimi sikuweza kumpatia majibu
ameolewa wana miaka mi4 sasa ktk ndoa na wamebarikiwa mtoto wa kike .......mume wake ni doctor private hospital....
mara ya kwanza alikua anarudi sa moja au akichelewa sana sa mbili ila alikua hazidishi hapo......miezi 6 iliyopita akaanza kuja sa nne usiku na sa ingine asubui akija anatoa sababu kuliletwa mgonjwa kazidiwa sana aliitaji msaada wa haraka so wakabaki kumpatia huduma ,sa ingine anasingizia majeruhi wengi wa ajali leo,mara ooh! nilikua namsaidia doctor mwenzangu kazi kidogo......
ikaja ikafikia hatua hata unyumba hampi shost wangu anamuambia leo nimekutana na mtu kaharibika kila sehemu sina stimu nipe tu wine nilale mana akili imechoka,mara majeruhi wa ajali leo wamenichefua,mara leo nimeona mgonjwa wa cancer sina mood kabisa hata ya msosi(akawa na akija anasema kashiba kabisa hawezi kula)
yani ikawa kila akirudi anakuja na stori ya kuhuzunisha kuliko ya jana yake ili umuonee huruma na kuacha kumuuliza kuhusu unyumba yy alale tu......badae akaanza safari za mikoani mara nimetumwa kikazi,mara nimetumwa kwenda kusaidia hopital ya mkoa moshi kcmc,mara morogoro,mara mbeya yani ikawa inapita hata mwezi hajamuona home anapiga tu simu kua kashindwa kurudi anatuma tu pesa M pesa na kulipa bili ya umeme na maji ju kwa ju
siku moja karudi anamkwaruzo mkubwa kiunoni akasema eti meza ofisini ilimkwarua khaa!.......shost analipiwa ada na huyo mumewe mzumbe university na mdogo wake yuko CBE mwaka wa pili wote analipia huyo mume sasa anashindwa kuondoka mana akiondoka service zinatoweka zote izo......
jana kanipigia simu kua ana miezi 5 hajamgusa wala kuguswa na mumewe eti akimuuliza anajibiwa umekosa nn hapa ndani kama ni hela nakupa na card moja ya bank unayo wewe ukitaka hela katoe,umeme nalipa,maji,kodi .pia unasoma unataka nini zaidi na nishakuambia sina urithi wa kukuachia zaidi ya elimu so nitakusomesha mpaka mwisho
mm nilitaka kumuambia ondoka ila roho ikasita badala yake nikaishia kumuambia pole mpz..............nimekuja huku kuomba ushauri nimuambie nini sasa huyu shost wangu mana namuonea tu huruma asije kuuliwa na HIV......
ameolewa wana miaka mi4 sasa ktk ndoa na wamebarikiwa mtoto wa kike .......mume wake ni doctor private hospital....
mara ya kwanza alikua anarudi sa moja au akichelewa sana sa mbili ila alikua hazidishi hapo......miezi 6 iliyopita akaanza kuja sa nne usiku na sa ingine asubui akija anatoa sababu kuliletwa mgonjwa kazidiwa sana aliitaji msaada wa haraka so wakabaki kumpatia huduma ,sa ingine anasingizia majeruhi wengi wa ajali leo,mara ooh! nilikua namsaidia doctor mwenzangu kazi kidogo......
ikaja ikafikia hatua hata unyumba hampi shost wangu anamuambia leo nimekutana na mtu kaharibika kila sehemu sina stimu nipe tu wine nilale mana akili imechoka,mara majeruhi wa ajali leo wamenichefua,mara leo nimeona mgonjwa wa cancer sina mood kabisa hata ya msosi(akawa na akija anasema kashiba kabisa hawezi kula)
yani ikawa kila akirudi anakuja na stori ya kuhuzunisha kuliko ya jana yake ili umuonee huruma na kuacha kumuuliza kuhusu unyumba yy alale tu......badae akaanza safari za mikoani mara nimetumwa kikazi,mara nimetumwa kwenda kusaidia hopital ya mkoa moshi kcmc,mara morogoro,mara mbeya yani ikawa inapita hata mwezi hajamuona home anapiga tu simu kua kashindwa kurudi anatuma tu pesa M pesa na kulipa bili ya umeme na maji ju kwa ju
siku moja karudi anamkwaruzo mkubwa kiunoni akasema eti meza ofisini ilimkwarua khaa!.......shost analipiwa ada na huyo mumewe mzumbe university na mdogo wake yuko CBE mwaka wa pili wote analipia huyo mume sasa anashindwa kuondoka mana akiondoka service zinatoweka zote izo......
jana kanipigia simu kua ana miezi 5 hajamgusa wala kuguswa na mumewe eti akimuuliza anajibiwa umekosa nn hapa ndani kama ni hela nakupa na card moja ya bank unayo wewe ukitaka hela katoe,umeme nalipa,maji,kodi .pia unasoma unataka nini zaidi na nishakuambia sina urithi wa kukuachia zaidi ya elimu so nitakusomesha mpaka mwisho
mm nilitaka kumuambia ondoka ila roho ikasita badala yake nikaishia kumuambia pole mpz..............nimekuja huku kuomba ushauri nimuambie nini sasa huyu shost wangu mana namuonea tu huruma asije kuuliwa na HIV......