Mume kabamba WhatsApp message zangu kwenye simu ya mkewe

Kaka naomba ufute hii kuali yako ya kusema Kuna watu wamekulia mizizi hawarogeki hata ufa ye Nini ndugu yangu futa hii. Labda awe haja nikosea lakini amenikosea alafu analeta jeuri πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Labda niamue kumsamehe tu
Kuna watu wamepikwa wakapikika hilo ukae ukijua
 
Nakuambia mm binafsi niliwahi kufumaniwa City style hotel sinza Mugabe na nikampeleka huyo anayejiita mume mahakaman na kesi bado inanguruma.

**Na huyo demu bado napiga
 
Kuna watu wamepikwa wakapikika hilo ukae ukijua
Ndugu yangu ndugu yangu hv unajua hao wanaopika watu wakapikika hao pia watu wakiamua kunyoosha wananyoosha vizuri kiufupi hata uwe una ukoo wa korelo,jide,wapi kule mtwara wanamizimu Yao sijui inaitwaje nimesahau lakini watu wakiamua kukaa chini ujue kabisa utachakaa vibaya mno na hutajua nani kukufanyia hvy daima. ogopa sana mganga aliesoma mbaka masters alafu amekatazwa kusoma na mavitu Yao huko kwako ili awe mganga Huwa hawakwepeshi wanamaliza hasira zao zote za kutokufanya kazi ya taaluma yake kwako.
Please and please hakuna asie rogeka ila kutakuwa na ugumu na mitego TU na Kuna Wana wanajua namna ya kufungua hiyo mitego na wakishafungua umeisha na hutajua nani kakubamiza.
Anyway tuendelee kumpa ushauri huyo kijana tu. Lakini kwenye hili swala tuachane nalo kabisa
 
Anawadanganya wenzie ,kijana mke wa mtu muogope kama ukoma siku kikinuka huko kubwabwaja kwake hutosikia atakuwa tuli
Kwani huyo mwanamke ni mtoto mdogo? Hana utashi na akili ya kujua kipi kizuri au kibaya? kama umgongi vizuri lazima atamtafuta msela amkune.
 
Zamu yako kuolewa Mzee wangu.

Kummke Mimi nakutumia jini.
 
Ndio maana Mungu Amekataza ZinaA visingizio kwamba eti mke kataka mwenyewe,mara utamjuaje mke wa mtu,havisaidia kwa maana kitendo mnachokifanya yaani kuzini kumekatazwa.NB:usimpangie mwenye mke cha kukufanya.
Acha uoga wewe... huyo unayekataza yuko wapi? wewe umezaliwa kwa sababu ya tendo, iweje liwe baya?
 
Kugongwa agongwe nikiwa cjui chief. Lakin nakukuta nae. Najua jukumu la mwanume yeyote ni kuilinda familia yake. Huwez kumuacha kima mmoja aharibu familia yako kirahic. Ataharibu lakin na yeye yake hataona matunda yake.
Dawa ya kugongewa ni kutafuta mnyonge umgongee. Ila siyo uo ujinga wako unaotaka kufanya.
 
Huyo ni wewe ni sio yeye.

Sasa mwache afanye
 
Mkuu nipe namba ya huyo mwanamke na Mimi nikajipigie. Mademu wanaoomba omba pesa ndio dawa yao hiyo
 
Mkanye mkeo sio mwanaume mwenzio. Utaishia jela huku mkeo akiendelea kukalia Chuma
Kijana punguza confidence,

hii dunia Pana sana utakutwa na tukio ambalo hata mda wa kuaga utaukosa au uanze kuwa mshauri mzuri wa wenzio
 
Jamaa yuko ndani au ana dhamana?
 
Mimi sio muumini wa kuwapaka wanaume mafuta…. Ila Nina imani na jambo moja ukiingia anga zangu hiyo mahakama utanisubiri nikiungana nawe huko walipo makerubi! Kimya kimya tuuuu… yaani hivo!
 
Chungeni wanawake zenu. Akijichanganya anapiga nao tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…