Mume kabamba WhatsApp message zangu kwenye simu ya mkewe

Sema wanawake ni virusi sana aisee! Tena hawa waliopo kwenye ndoa asilimia kubwa hawajiheshimu (mume wake awe tajiri/masikini).
Tabia zao ni za hovyo ndiyo virusi vikubwa kwenye haya maisha, tujitahidi kuepuka tamaa za kingono wanaume na pia jitahidi kumjua mwanamke undani wake pale anapojilengesha kwako(ufahamu vyema ni mke wa mtu au la).
Ni fedheha kubwa sana kupata matatatizo kwa mke wa mtu ni fedheha sana.
Kingine tuache zinaa, zinaa ndiyo chanzo cha matatizo yote haya yanayotokea mitaani i.e watu kurogana,kuuana,kufanyiana unyama wa kijinsia.

Hallelujah!!!
 
Mpigie simu jamaa mwambie ukweli sisi ni wanaume unavyoendelea kumkimbia siku atakuja kukunasa atakufanya mbaya . we mchane ulikuwa hujui kama dem kaolewa na hajakwambia tena ili aone upo serious tafuta watu wazima wawili nenda kaongee nae msuluhishe kwa amani . maisha ya kuwindana sio poa
 
Wabongo acheni woga. Yupo jamaa alikodi wahuni kwenda kumlawiti mgoni wake. Tunavyoongea yupo jela kifungo cha maisha.
Lakini ndio hivyo tena Linda huna na lime panuka kama sketi ya solo
 
Vijana acheni kuhamaki. Chunga mkeo vinginevyo ataishia kutom.bwa
 
Nimeipenda hii boss,,bonge moja la mgodi ,,,yan umepita ambako nilitaka kupita

Kutokana na mambo haya ya usaliti niliandika nyuzi hii πŸ‘‡πŸ‘‡

 
Bill gate uliona Katoa vitisho?
Vitisho ni matokea ya hasira kutokana na jambo lenyewe linavyoumiza sio Kila anayekutisha anataka kukudhuru kweli ,ni maumivu tu na hasira inampelekea hivyo na kama mwanaume ukiwa unajua maumivu la jambo Hilo na ulikua haujui unatembea na mke wa mtu ,kubali kosa omba msamaha. Huko unakotaka wewe kupimana ubavu na mtu aliyechafukwa roho ni kunitafuta matatizo kutapelekea kutatisha maisha ya watu ,ndoto za watu.
 
Makosa yalishafanyika sasa kuendelea kumkimbia ni kumuonyesha tu kwamba hata wewe ulikuwa unajua kaolewa na ukaamua kumfanya mke wake
 
Makosa yalishafanyika sasa kuendelea kumkimbia ni kumuonyesha tu kwamba hata wewe ulikuwa unajua kaolewa na ukaamua kumfanya mke wake
Kweli yan angajua mapema baada ya kupigiwa simu tu angepokea na kusema kuwa hakujua kama huyo ni mke wa mtu,ndio maana kawa free kumleta hapo kwake,na kusisitiza zaidi kuwa angejiamini vipi kumleta mke wa mtu kwake,hiyo ingekuwa hatua ya kwanza

Pili angetafuta watu kama ulivyo shauri
 
Hkuna
Hakuna jinai hapo, hata akienda mahakama ni, itabidi athibitishe kama umemla mkewe, hapo atakachoweza kukufanya ni shambulio LA kudhuru mwili,Anza kutembea na siraha, kisu,panga, bastora, au usubili mpaka ufilimbwe
 
Acha uongo na ujinga huwezi kuishi na mwanamke wa mtu miaka miwili bila kujua kuwa yeye ni mke wa mtu!

Naomba jamaa awe na wazo la kukupoteza huenda walionyuma yako na wenye tabia kama yako inaweza kuwa fundisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…