Am_tunnechi
JF-Expert Member
- Nov 12, 2022
- 1,060
- 1,956
Mpigie simu jamaa mwambie ukweli sisi ni wanaume unavyoendelea kumkimbia siku atakuja kukunasa atakufanya mbaya . we mchane ulikuwa hujui kama dem kaolewa na hajakwambia tena ili aone upo serious tafuta watu wazima wawili nenda kaongee nae msuluhishe kwa amani . maisha ya kuwindana sio poa1. Wakuu kuna Mother flan Mwalimu wa sekondari ya kata mitaa ya Kibamba huwa nakamua toka Oktoba 2022 sasa ijumaa nilienda kupiga kuanzia saa 8 mpaka sasa 12 nikamrudisha hadi mitaa ya kwao. Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi.
2. Anayedaiwa kuwa Ni Mume akamnyang'anya simu akaanza kupekua WhatsApp chat akakutana na conversation yetu ya siku Ile Ile tukiwa tunaelekezana pa kukutana sasa jamaa kaniforwardia conversation kwenye WhatsApp yangu na simu kama zote. Sijapokea wala Sijajibu.
3. Nawaza, niwahi kwenye Ile guest wafute zile image (wakati tunaingia na kutoka) kwenye CCTV zao wasije wakapewa hela na huyu boya ukapatikana ushahidi.
#Huyu mwanamke simtaki tena. Hajawahi kumuambia kama kaolewa.
Lakini ndio hivyo tena Linda huna na lime panuka kama sketi ya soloWabongo acheni woga. Yupo jamaa alikodi wahuni kwenda kumlawiti mgoni wake. Tunavyoongea yupo jela kifungo cha maisha.
Cwez kubadili life style yangu kwaajili ya mjinga mmoja. Hii dunia sio yanguDawa ya kugongewa ni kutafuta mnyonge umgongee. Ila siyo uo ujinga wako unaotaka kufanya.
Nimeipenda hii boss,,bonge moja la mgodi ,,,yan umepita ambako nilitaka kupitaMpigie simu jamaa mwambie ukweli sisi ni wanaume unavyoendelea kumkimbia siku atakuja kukunasa atakufanya mbaya . we mchane ulikuwa hujui kama dem kaolewa na hajakwambia tena ili aone upo serious tafuta watu wazima wawili nenda kaongee nae msuluhishe kwa amani . maisha ya kuwindana sio poa
Vitisho ni matokea ya hasira kutokana na jambo lenyewe linavyoumiza sio Kila anayekutisha anataka kukudhuru kweli ,ni maumivu tu na hasira inampelekea hivyo na kama mwanaume ukiwa unajua maumivu la jambo Hilo na ulikua haujui unatembea na mke wa mtu ,kubali kosa omba msamaha. Huko unakotaka wewe kupimana ubavu na mtu aliyechafukwa roho ni kunitafuta matatizo kutapelekea kutatisha maisha ya watu ,ndoto za watu.Bill gate uliona Katoa vitisho?
Makosa yalishafanyika sasa kuendelea kumkimbia ni kumuonyesha tu kwamba hata wewe ulikuwa unajua kaolewa na ukaamua kumfanya mke wakeNimeipenda hii boss,,bonge moja la mgodi ,,,yan umepita ambako nilitaka kupita
Kutokana na mambo haya ya usaliti niliandika nyuzi hii ππ
Fikiria kila mtu ni msaliti ila hajagundulika tu,hii itakusaidia kupunguza mshtuko endapo mambo yakienda vibaya
Wale ambao mnatembelea mitandao mbali mbali,kuna habar huko katika ule mtandao wa kindege,kwamba kuna mwamba ambaye yupo karibu na mkuu wa kaya,huyu mwamba kamnunulia tamu yake apartments kadhaa,na kila mwezi humpa milioni ishirini (20ml) za matumizi tu. Sasa ebu fikiria,tamu ya mwamba pamoja...www.jamiiforums.com
Kweli yan angajua mapema baada ya kupigiwa simu tu angepokea na kusema kuwa hakujua kama huyo ni mke wa mtu,ndio maana kawa free kumleta hapo kwake,na kusisitiza zaidi kuwa angejiamini vipi kumleta mke wa mtu kwake,hiyo ingekuwa hatua ya kwanzaMakosa yalishafanyika sasa kuendelea kumkimbia ni kumuonyesha tu kwamba hata wewe ulikuwa unajua kaolewa na ukaamua kumfanya mke wake
Hakuna jinai hapo, hata akienda mahakama ni, itabidi athibitishe kama umemla mkewe, hapo atakachoweza kukufanya ni shambulio LA kudhuru mwili,Anza kutembea na siraha, kisu,panga, bastora, au usubili mpaka ufilimbwe1. Wakuu kuna Mother flan Mwalimu wa sekondari ya kata mitaa ya Kibamba huwa nakamua toka Oktoba 2022 sasa ijumaa nilienda kupiga kuanzia saa 8 mpaka sasa 12 nikamrudisha hadi mitaa ya kwao. Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi.
2. Anayedaiwa kuwa Ni Mume akamnyang'anya simu akaanza kupekua WhatsApp chat akakutana na conversation yetu ya siku Ile Ile tukiwa tunaelekezana pa kukutana sasa jamaa kaniforwardia conversation kwenye WhatsApp yangu na simu kama zote. Sijapokea wala Sijajibu.
3. Nawaza, niwahi kwenye Ile guest wafute zile image (wakati tunaingia na kutoka) kwenye CCTV zao wasije wakapewa hela na huyu boya ukapatikana ushahidi.
#Huyu mwanamke simtaki tena. Hajawahi kumuambia kama kaolewa.
ππππππππππππInna Lillahi wa inna ilayhi raji'un
View attachment 3118289
Wenzako wanaandaa nyumba ya milele ya ntu hukuππππππππππππ
sasa mbona ni wanawake na alobamba mesej n mwanaumeWenzako wanaandaa nyumba ya milele ya ntu huku
Za hukuhuku afrikaTamaduni za wapi kinamama kuchimba makaburi, au wanachimba shimo ka taka?
Nchi gani mkuu?Za hukuhuku afrika
Huwezi elewa najua huna D mbilisasa mbona ni wanawake na alobamba mesej n mwanaume
Acha uongo na ujinga huwezi kuishi na mwanamke wa mtu miaka miwili bila kujua kuwa yeye ni mke wa mtu!1. Wakuu kuna Mother flan Mwalimu wa sekondari ya kata mitaa ya Kibamba huwa nakamua toka Oktoba 2022 sasa ijumaa nilienda kupiga kuanzia saa 8 mpaka sasa 12 nikamrudisha hadi mitaa ya kwao. Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi.
2. Anayedaiwa kuwa Ni Mume akamnyang'anya simu akaanza kupekua WhatsApp chat akakutana na conversation yetu ya siku Ile Ile tukiwa tunaelekezana pa kukutana sasa jamaa kaniforwardia conversation kwenye WhatsApp yangu na simu kama zote. Sijapokea wala Sijajibu.
3. Nawaza, niwahi kwenye Ile guest wafute zile image (wakati tunaingia na kutoka) kwenye CCTV zao wasije wakapewa hela na huyu boya ukapatikana ushahidi.
#Huyu mwanamke simtaki tena. Hajawahi kumuambia kama kaolewa.
Tanzania, huko Geita iliwahi tokea hivyo.Nchi gani mkuu?