Mume kabamba WhatsApp message zangu kwenye simu ya mkewe

Acha uongo na ujinga huwezi kuishi na mwanamke wa mtu miaka miwili bila kujua kuwa yeye ni mke wa mtu!

Naomba jamaa awe na wazo la kukupoteza huenda walionyuma yako na wenye tabia kama yako inaweza kuwa fundisho
Mke wa mtu unamjuaje?
 
Mgh, kuna watu bhna
 
Bado unaendelea kula tunda kimasiara?
 
Kijambio kiko hatiani hiko.

Kila siku mnaambiwa mke wa mtu sumu hamtaki kuelewa.

Badili namba ikiwezekana hama mkoa kwa muda.
 
Bhs ww unaona sifa sana kmmk yan mke wake umle bado tena umpeleke jela,hujafanya sawa na ww ipo siku mke wako utatombewa hii itakurudia
 
Una pa kukimbilia , plate number ya gari amechukua , Simu namba anayo Cha kufanya we tolokea Sudan au Gaza utakuwa umejiokoa maana sijui kama unaujua mtiti wa huyo jamaa
 
Ata ku Pdidy
 
Kina nyundo walitumwa na Afande, Sijui saa hii itakuwa waliotumwa na nani, Ngoja tusubiri!!
 
Kugongwa agongwe nikiwa cjui chief. Lakin nakukuta nae. Najua jukumu la mwanume yeyote ni kuilinda familia yake. Huwez kumuacha kima mmoja aharibu familia yako kirahic. Ataharibu lakin na yeye yake hataona matunda yake.
Kwani Huyo mkeo hajui kwamba ni makosa kugawa nje?
 
Huwezi kuanza mahusiano na mtu bila kujadiliana. Labda kama mnanunuana.
Sasa kama akiniambia kaolewa ila anataka nimsugue, ntamuachaje? Lazima nimpe haki yake.

Huyo mkeo siyo mtoto mdogo kusema hajui anachokifanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…