Mkanye mkeo sio mwanaume mwenzio. Utaishia jela huku mkeo akiendelea kukalia ChumaNi sahihi kabisa, haya mambo sio kutishia, unafanyiwa timing na kweli hutokea; ipo siku utakuja jutia haya unayojivunia nayo either ukiwa kilema au ahera
Kaka hebu njoo kwa mke wangu ,,,au nikupe namba yakeGharama zote za nini? Kwa Sheria ipi?
Hiyo sio Dawa, Dawa ni Kukaa mbali na wake za watu1. Wakuu kuna Mother flan Mwalimu wa sekondari ya kata mitaa ya Kibamba huwa nakamua toka Oktoba 2022 sasa ijumaa nilienda kupiga kuanzia saa 8 mpaka sasa 12 nikamrudisha hadi mitaa ya kwao. Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi.
2. Mume akamnyang'anya simu akaanza kupekua WhatsApp chat akakutana na conversation yetu ya siku Ile Ile tukiwa tunaelekezana pa kukutana sasa jamaa kaniforwardia conversation kwenye WhatsApp yangu na simu kama zote. Sijapokea wala Sijajibu.
3. Nawaza, niwahi kwenye Ile guest wafute zile image (wakati tunaingia na kutoka) kwenye CCTV zao wasije wakapewa hela na huyu boya ukapatikana ushahidi.
#Huyu mwanamke simtaki tena
Weka namba hapaKaka hebu njoo kwa mke wangu ,,,au nikupe namba yake
mkuu anakupgia ukachukue mke kabisa badala ya kuiba ukaishi naye maana kaona mnapendana isiwe tabu kuiba iba anataka akuachie kabisa ili mfaidi sasa unakimbia nini.1. Wakuu kuna Mother flan Mwalimu wa sekondari ya kata mitaa ya Kibamba huwa nakamua toka Oktoba 2022 sasa ijumaa nilienda kupiga kuanzia saa 8 mpaka sasa 12 nikamrudisha hadi mitaa ya kwao. Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi.
2. Mume akamnyang'anya simu akaanza kupekua WhatsApp chat akakutana na conversation yetu ya siku Ile Ile tukiwa tunaelekezana pa kukutana sasa jamaa kaniforwardia conversation kwenye WhatsApp yangu na simu kama zote. Sijapokea wala Sijajibu.
3. Nawaza, niwahi kwenye Ile guest wafute zile image (wakati tunaingia na kutoka) kwenye CCTV zao wasije wakapewa hela na huyu boya ukapatikana ushahidi.
#Huyu mwanamke simtaki tena
Wake za watu punguzeni shobo kwenye pesa za wanaume. Mtaishia kuchezea koki mpaka kifo. Wewe umeolewa ya nn kupenda bia za bure? Mara sijui VICOBA unajichotea mipesa toka Kwa mwanaume ambae si wako?1. Wakuu kuna Mother flan Mwalimu wa sekondari ya kata mitaa ya Kibamba huwa nakamua toka Oktoba 2022 sasa ijumaa nilienda kupiga kuanzia saa 8 mpaka sasa 12 nikamrudisha hadi mitaa ya kwao. Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi.
2. Mume akamnyang'anya simu akaanza kupekua WhatsApp chat akakutana na conversation yetu ya siku Ile Ile tukiwa tunaelekezana pa kukutana sasa jamaa kaniforwardia conversation kwenye WhatsApp yangu na simu kama zote. Sijapokea wala Sijajibu.
3. Nawaza, niwahi kwenye Ile guest wafute zile image (wakati tunaingia na kutoka) kwenye CCTV zao wasije wakapewa hela na huyu boya ukapatikana ushahidi.
#Huyu mwanamke simtaki tena
Mambo mengine ni ushamba tu ,sasa wanawake wote hawa waliojaa hadi ukachukue mke wa mtu1. Wakuu kuna Mother flan Mwalimu wa sekondari ya kata mitaa ya Kibamba huwa nakamua toka Oktoba 2022 sasa ijumaa nilienda kupiga kuanzia saa 8 mpaka sasa 12 nikamrudisha hadi mitaa ya kwao. Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi.
2. Mume akamnyang'anya simu akaanza kupekua WhatsApp chat akakutana na conversation yetu ya siku Ile Ile tukiwa tunaelekezana pa kukutana sasa jamaa kaniforwardia conversation kwenye WhatsApp yangu na simu kama zote. Sijapokea wala Sijajibu.
3. Nawaza, niwahi kwenye Ile guest wafute zile image (wakati tunaingia na kutoka) kwenye CCTV zao wasije wakapewa hela na huyu boya ukapatikana ushahidi.
#Huyu mwanamke simtaki tena
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un
View attachment 3118289
Watu hawafanani, mwingine ataondoka na shingo yako mkutane kuzimu!Wabongo acheni woga. Yupo jamaa alikodi wahuni kwenda kumlawiti mgoni wake. Tunavyoongea yupo jela kifungo cha maisha.
Wewe waache waendelee mkuu.Mimi kuna jamaa mmoja alikuwa anatembea na mke wa mtu,alirogwa tumbo likavimba kama mimba ya mbuzi pacha.Mwishowe lile tumbo lilikuja ku burst kama pancha ya tairi kubwa.Endelea tu kumdanganya mwenzio
WEnzio kibao washafanywa machizi mtaani kwa usenge wa design hii. Unaharibu maisha yako kwa kutembea na mke wa mtu alafu unajisifia kabisa mtaani kama sio uchizi ni nini
Unamjuaje huyu mke wa mtu?Mambo mengine ni ushamba tu ,sasa wanawake wote hawa waliojaa hadi ukachukue mke wa mtu
HAPANA, subiri Tu, Jamaa Hana shida Yule, atakupiga Tu mkwara, Jamaa na Mke wake wako kwenye gridi ya Taifa so jiandae Tu kuanza kutumia dawa3. Nawaza, niwahi kwenye Ile guest wafute zile image (wakati tunaingia na kutoka) kwenye CCTV zao wasije wakapewa hela na huyu boya ukapatikana ushahidi.
Usimshauri mwenzako kufanya huu ujinga.Atauliwa vibaya sana.Huwezi kumgonga waifu wangu alafu unaenda polisi kunishitaki eti nakutishia maisha.Nitakuua wewe na huyo hakimu wako.Hamna kesi hapo. Hata angekushika UGONI live si jinai. Akipiga simu pokea halafu hakikisha unamrekodi kisha kafungue kesi ya KUTISHIA KUUA KWA MANENO (JINAI) halafu mkutane mahakamani nakuhakikishia hiyo kesi inampeleka jela huku unaendelea kupiga bibie tena kitandani kwake.
Binafsi, niliwahi kufumaniwa CITY STYLE HOTEL na anayedaiwa ni mume wa mwanamke niliyekua nae faragha. Jamaa wamevamia na makamera room, tukiwa uchi. Wakachukua video na makelele kibao baada ya hapo wakanitishia kurusha picha za utupu mitandaoni. Baadae jamaa akarusha video aliyoturekodi kupitia whatsapp yangu. Akajiloga akapiga simu (voice call) vitisho vya kuniua mimi hapo NAREKODI tu Haikuchukua muda jamaa anapelekewa wito mahakamani kesi inaunguruma mwaka wa pili huu.
Ana Kadi ya CCMUnamjuaje mke wa mtu?
Na wengi wanafichaUnamjuaje mke wa mtu?
🤣🤣🤣🤦Ana Kadi ya CCM