Mume kabamba WhatsApp message zangu kwenye simu ya mkewe

Weka shingo yako vema.Nakuja kukuchinja.
 
Hapo mkuu ni swala la kutumia akili ya kuzaliwa, unatongozana vipi na mtu hadi mnaenda guest bila ya kumfahamu ? Si utakuja kulalq na majambazi au wauza viungo vya binaadamu wakunyonge huko guest ufe kwa aibu
Sio wajibu wa mwanaume kuchunguza profile ya mwanamke anayemtom.bah. naamini hukumkuta bikra
 
Usimfundishe mwenzio ujinga wewe sio watu wote wanafanya hivyo. Mi nikikufumania wala cfanyi chochote. Ila nitakupa miaka mitano ya kujisahau hicho utakachofanyiwa itakuwa historia kwenu. Sio kila mtu anafanya maamuzi au kuongea wakati ana hasira mzee. Mwambie aache ujinga wa kutembea na wake za watu.
 
Acha ufala wew , mtu kafanya ujinga bado unamuelekeza ujinga Dunia si yako shehe heshimu cha MTU
 
Ukijua hivi wenzako wanajua vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…