Mume kabamba WhatsApp message zangu kwenye simu ya mkewe

Mshahara wa Dhambi ni mauti,Bado unsmuita boya!Mbona unaomba ushauri? Pambana na Boya.
 
Vijn wakae na kuheshimu cha MTU, Hii dunia c yako wala ya Baba yako
 
Mwambie ilikuwa ajari na wala haitajirudia na ndo mwisho na ilikuwa mwanzo wala hamkujuana just accident.
 
Watu kama nyie kesho na kesho kutwa mkitekwa mkanyongwa, ndugu zenu wanaijia juu Serikali yetu tukufu na matusi ya nguoni kwa Raisi wetu mpenda amani mama Samia.

Unaona ushujaa kuleta Uzi wako wa kifedhuli humu.
 
R.i.p in advance kama jamaa atakucharanga mapanga. Halafu jina lako haliendani na matendo yako, futa blessings weka cursed
Wewe ndio unaona jina haliendani na matendo yake kulingana na unavyofikiria lkn hili si kwa akili za vijana wabongo wao wako tofauti kabisaa na uhalisia kwao blssing inatumika hta kwenye mambo ya kijinga.
mf: wana msemo wao mke wa mtu amenibless
 
Hujaelezea vzuri hii story kuhusu mafuta yalikuwa km yale yaliyokutwa kwa didy au ya nazi tu kawaida
bado sijalog out nasubiria
 
Mke wa mtu saa 8 mpaka saa 12, nyie ni washenzi.

Ngoja wakukomeshe.
Wewe ni legend.
Una Manisha walizidisha muda au 😁.

Vipi ilitakiwa iwe saa ngapi mpaka saa ngapi πŸ˜…πŸ˜…
 
Wewe ni legend.
Una Manisha walizidisha muda au 😁.

Vipi ilitakiwa iwe saa ngapi mpaka saa ngapi πŸ˜…πŸ˜…
Si maanishi walizidisha muda, naamanisha walijiamini nini kujifungia mahali huku wanaiba for almost four hours
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…