Mume kuanzia 40 - 45

Dinam

Senior Member
Joined
Jan 19, 2011
Posts
116
Reaction score
28
Ninahitaji mwenza bado sijapata kwa alie tayari anipm. Nipo single mother nina mtoto mmoja 9yrs ambae hatajali tuanze mahusiano. Ninafanya kazi. Please kejeli sio busara i am serios
 
40-45yrs bado anakusubiri tu?
Ukikutana na mwanamme wa umri hio single kimbia, atakuwa kimeo
Bora awe kafiwa na mkewe au mkewe kamkimbia.
 
oh kila la kheri dada yangu ila kuwa makini ukishasema tu unafanya kazi baaaaasi watamiminika edit useme sina kazi au mama ntilie hutasikia pm be carefully in your selection!!!
 
Kama upo tayari punguza umri kwa miaka 4 basi ni pm wewe
 
oh kila la kheri dada yangu ila kuwa makini ukishasema tu unafanya kazi baaaaasi watamiminika edit useme sina kazi au mama ntilie hutasikia pm be carefully in your selection!!!

Ohh, wewee umekosea ushauri wako.. Siye wengine tuna biashara zetu poa daily income hadi 15m. sasa ndo tutamininka ovyo? Kila mtu na bahati yake!!
 
40-45yrs bado anakusubiri tu?
Ukikutana na mwanamme wa umri hio single kimbia, atakuwa kimeo
Bora awe kafiwa na mkewe au mkewe kamkimbia.

Hacha kutuaribia soko. Mi nipo tayari bana. Sina Mke na ninafanyakázi pia. Ni PM
 
Ninahitaji mwenza bado sijapata kwa alie tayari anipm. Nipo single mother nina mtoto mmoja 9yrs ambae hatajali tuanze mahusiano. Ninafanya kazi. Please kejeli sio busara i am serios

Upo single au mjane? Unakuwaje single na mtoto wa miaka 9? Mzazi mwenzio yuko wapi?
Ok, ngoja niliache hilo. Labda ungeelezea sababu zilizokufanya ushindwe kuwa na mzazi mwenzio ili umsaidie anaetaka kuja kuwekeza

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 





mimi nipo single na mzazi mwenzangu already ana mke hatuwezi kuoana na sihitaji mtu kuja kuwekeza kama unavyosema na tupo wengi sioni sababu ya kuniuliza maswali hayo kwani mume au mke ni mungu anapanga mwenyewe na umri sio tija
 
mimi nipo single na mzazi mwenzangu already ana mke hatuwezi kuoana na sihitaji mtu kuja kuwekeza kama unavyosema na tupo wengi sioni sababu ya kuniuliza maswali hayo kwani mume au mke ni mungu anapanga mwenyewe na umri sio tija

Unaweza kuona maswali yangu kama sio ya maana ila yameongeza wigo zaidi ya kukuelewa wewe kwa sasa. Sidhani kama nimekosea. I dont mean to joke around. Ni vema pia ukasema umri wako tafadhali if u wont mind.
Thanks
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…