Unaweza kuona maswali yangu kama sio ya maana ila yameongeza wigo zaidi ya kukuelewa wewe kwa sasa. Sidhani kama nimekosea. I dont mean to joke around. Ni vema pia ukasema umri wako tafadhali if u wont mind.
Thanks
kejeli hazitakiwi kama haikuhusu usijibu sisi tupo serious hatutaki matani
mbona nimeshaweka wazi 42
Ninahitaji mwenza bado sijapata kwa alie tayari anipm. Nipo single mother nina mtoto mmoja 9yrs ambae hatajali tuanze mahusiano. Ninafanya kazi. Please kejeli sio busara i am serios
unadhani umejieleza vya kutosha? ongeza maelezo ili PM ziwe nyingi nawe uchague kutoka kwenye lundo lao waliovutiwa na maelezo yako
Sa so utaje umri..??
Unaweza kuona maswali yangu kama sio ya maana ila yameongeza wigo zaidi ya kukuelewa wewe kwa sasa. Sidhani kama nimekosea. I dont mean to joke around. Ni vema pia ukasema umri wako tafadhali if u wont mind.
Thanks
Kongosho acha nikurekebishe kidogo..si wanawake tu wanapitia haya wapo wanaume wengi wanapitia haya pia. Sio wote wamejaliwa kuoa au kuolewa. Ninawafahamu wengi zaidi ya umri uliotajwa wanawake kwa wanaume ambao wanahitaji kuolewa au kuoa hawajabahatika. Kwa hivi ni vyema ku support mtu anayekuja na ombi kama hili tusilete matani kwa kila jambo.40-45yrs bado anakusubiri tu?
Ukikutana na mwanamme wa umri hio single kimbia, atakuwa kimeo
Bora awe kafiwa na mkewe au mkewe kamkimbia.
Kongosho acha nikurekebishe kidogo..si wanawake tu wanapitia haya wapo wanaume wengi wanapitia haya pia. Sio wote wamejaliwa kuoa au kuolewa. Ninawafahamu wengi zaidi ya umri uliotajwa wanawake kwa wanaume ambao wanahitaji kuolewa au kuoa hawajabahatika. Kwa hivi ni vyema ku support mtu anayekuja na ombi kama hili tusilete matani kwa kila jambo.
Kongosho, wapo tena wengi tuu mbona! kuna wale wanaosubiria kutimiza ndoto zao mfano elimu kazi na mengineyo, kuna wale waoga hawajiamini,hawajajiandaa kimaisha wapo wengi tu mbona tunaishi nao. Kwa hivi mtihani nakupa ukitaka jua huyu aliyetoa ombi muulize ni wangapi wamemcontact utastaajabu.Sijamtania, nimempa mtizamo wangu
At 40, hajawahi kuoa kabisa? No way!
Kongosho, wapo tena wengi tuu mbona! kuna wale wanaosubiria kutimiza ndoto zao mfano elimu kazi na mengineyo, kuna wale waoga hawajiamini,hawajajiandaa kimaisha wapo wengi tu mbona tunaishi nao. Kwa hivi mtihani nakupa ukitaka jua huyu aliyetoa ombi muulize ni wangapi wamemcontact utastaajabu.