MKUU KUNA WENGINE WAMEKWAMBIA MKE AACHE KAZI AKUFUATE ETC ETC!
UKIWAFUATISHA SHAURI YAKO UTAINGIA CHAKA!!
NDOA NI WATU WAWILI, UMESHASEMA UPO HALMASHAURI, HIVYO NI RAHISI KWAKO KUHAMA, ANDIKA BARUA KUOMBA UHAMISHO ELEZA SABABU ZA KUHAMAAMBATANISHA NA CHETI CHA NDOA FUATILIA!!
Mambo ya kwamba wewe ndo mume, mke akufuate blablabla achana nazo, wewe ndo unajua shida mnazokabili kwenye ndoa yako, wewe ndo unajua maisha yako na mkeo ikoje, wewe ndo unajua umuhimu wa ajira ya kila mmoja kwenye ndoa yenu, na ulishatafakari na kuona ni vyema uhame, fanya hivyo hama.
Kuna wengine watashauri mke aache kazi, mipango ya maisha yenu yakiharibika kwa kupungua kipato, au frustration za hapa na pale ni ndoa yako ndio itakayokua na mashakani,