MUME/MKE ni ndugu au rafiki?

Mke ni mke tu huwezi kufananisha mbingu na ardhi hata siku moja.
 
Hawa si marafiki wala ndugu, bali ni maadui wakubwa. Unapo chagua wa kuoa/kuolewa, unachagua mtu mtakaye kosana naye maishani. Wengi wa walio katika ndoa wanajuta, na wanatamani kutoka, wakati walio nje ya ndoa wanatamani kuingia. Hili ni fumbo la imani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…