Mume/mke wako. Anasifa zile ulikua unaziwaza enzi za u-teenager?

Mume/mke wako. Anasifa zile ulikua unaziwaza enzi za u-teenager?

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
16,207
Reaction score
14,343
Hivi zile sifa ulizokua unazitaja
Za handsome,tall,dark
Financial stable
Na kwa mke (mnazijua nyie)
Ndo anazo sasa hivi
Au Ndoa ni upendo
Hahahaha
Nyie acheni kabisa
Ningemshauri mtu yoyote anaetaka kuoa/kuolewa
Make sure unawaza vitu vifuatavyo
1.mcha Mungu
2.ana upendo wa dhati.
3.anapenda amani

Kuna hao tall and dark utapigwa matukio mpaka ukimbie.
Jitafutie tu mtu wako asie na makuu uta enjoy

Hao wa financial stable sasa
Utaanzisha nyuzi humu mpaka watu watakuona ni chai kumbe kweli unapigwa matukio mpaka
Kwa wanaume ambao mnatafuta wanawake kwa vigezo vya nje tu.
Sikatai kwenye hilo

Lakini tafuta mwenye sifa za ziada
Makalio hayalei watoto.
Na siku hizi wanawake hizo type zenu hawataki jishuhulisha.utabaki na korodani tu hizo.
Mkishaingia kwenye ndoa kuna bills za kudeal nazo.

Hata kama u ajiweza vipi mwanaume kuna ups and down baadae.
Sawa unampenda mkishakua na watoto wewe ukapoteza kazi au haupo dunian?

Unafikiri hiyo chura ataiuza alee watoto?
Natoa mtizamo wangu lakin kama ukipata nafasi ya kirudi nyuma naamini kuna mengine ungeyabadilisha.kwa ni mwanamke au mwanaume gani ungeolewa nae/kuoa.

Muombe Mungu kama atakupa mwenye hizi material thing lakini pia awe na upendo wa dhati.
Lakini kama hana na anaweza kujishuhulisha ana hofu ya Mungu na mengine anayo
Basi umeula..

Otherwise unavyooa usitumie kichwa cha chini tu
(Ndo hayo mawazo mseto)
 
Hivi zile sifa ulizokua unazitaja
Za handsome,tall,dark
Financial stable
Na kwa mke (mnazijua nyie)
Ndo anazo sasa hivi
Au Ndoa ni upendo
Hahahaha
Nyie acheni kabisa
Ningemshauri mtu yoyote anaetaka kuoa/kuolewa
Make sure unawaza vitu vifuatavyo
1.mcha Mungu
2.ana upendo wa dhati.
3.anapenda amani

Kuna hao tall and dark utapigwa matukio mpaka ukimbie.
Jitafutie tu mtu wako asie na makuu uta enjoy
Hao wa financial stable sasa
Utaanzisha nyuzi humu mpaka watu watakuona ni chai kumbe kweli unapigwa matukio mpaka
Kwa wanaume ambao mnatafuta wanawake kwa vigezo vya nje tu.
Sikatai kwenye hilo
Lakini tafuta mwenye sifa za ziada
Makalio hayalei watoto.
Na siku hizi wanawake hizo type zenu hawataki jishuhulisha.utabaki na korodani tu hizo.
Mkishaingia kwenye ndoa kuna bills za kudeal nazo.
Hata kama u ajiweza vipi mwanaume kuna ups and down baadae.
Sawa unampenda mkishakua na watoto wewe ukapoteza kazi au haupo dunian?
Unafikiri hiyo chura ataiuza alee watoto?
Natoa mtizamo wangu lakin kama ukipata nafasi ya kirudi nyuma naamini kuna mengine ungeyabadilisha.kwa ni mwanamke au mwanaume gani ungeolewa nae/kuoa.
Muombe Mungu kama atakupa mwenye hizi material thing lakini pia awe na upendo wa dhati.
Lakini kama hana na anaweza kujishuhulisha ana hofu ya Mungu na mengine anayo
Basi umeula..
Otherwise unavyooa usitumie kichwa cha chini tu
(Ndo hayo mawazo mseto)
Hongera kwa kumpata Mume bora.
 
Hivi zile sifa ulizokua unazitaja
Za handsome,tall,dark
Financial stable
Na kwa mke (mnazijua nyie)
Ndo anazo sasa hivi
Au Ndoa ni upendo
Hahahaha
Nyie acheni kabisa
Ningemshauri mtu yoyote anaetaka kuoa/kuolewa
Make sure unawaza vitu vifuatavyo
1.mcha Mungu
2.ana upendo wa dhati.
3.anapenda amani

Kuna hao tall and dark utapigwa matukio mpaka ukimbie.
Jitafutie tu mtu wako asie na makuu uta enjoy
Hao wa financial stable sasa
Utaanzisha nyuzi humu mpaka watu watakuona ni chai kumbe kweli unapigwa matukio mpaka
Kwa wanaume ambao mnatafuta wanawake kwa vigezo vya nje tu.
Sikatai kwenye hilo
Lakini tafuta mwenye sifa za ziada
Makalio hayalei watoto.
Na siku hizi wanawake hizo type zenu hawataki jishuhulisha.utabaki na korodani tu hizo.
Mkishaingia kwenye ndoa kuna bills za kudeal nazo.
Hata kama u ajiweza vipi mwanaume kuna ups and down baadae.
Sawa unampenda mkishakua na watoto wewe ukapoteza kazi au haupo dunian?
Unafikiri hiyo chura ataiuza alee watoto?
Natoa mtizamo wangu lakin kama ukipata nafasi ya kirudi nyuma naamini kuna mengine ungeyabadilisha.kwa ni mwanamke au mwanaume gani ungeolewa nae/kuoa.
Muombe Mungu kama atakupa mwenye hizi material thing lakini pia awe na upendo wa dhati.
Lakini kama hana na anaweza kujishuhulisha ana hofu ya Mungu na mengine anayo
Basi umeula..
Otherwise unavyooa usitumie kichwa cha chini tu
(Ndo hayo mawazo mseto)
Pole kwa kupigwa matukio na hao TALL and BLACK😒
 
Kweli safari yangu ya kuowa bado sana.

but kiukweli haraka haraka ndio zinawaponza wengi.
Na unakuta mwanaume hajapanga kuzaa na wewe, kwa ujinga wenu wote wawili mnabebeshana mimba mwisho inabidi kuowana kwa lazima
 
Hapo kwenye hofu ya Mungu naomba kueleweshwa.

Je mtu akiwa na hofu ya Mungu ni kwamba pindi anapotaka kufanya ukatili, au chochote chenye nadharia ya uharibifu akikumbuka ni chukizo la Mungu anacha mara moja?

Kwamba Uungu wa Mungu ndio zuio la yeye kutofanya mabaya kwa wengine pasipo na hurum?

Kwamba huyu mtu asipojua uwepo wa Mungu atakua mkatili kwasabab hana cha kuhofia?
 
Back
Top Bottom