Wakina Dada bado me nawakumbusha tu kuwa
Idadi ya watu duniani =7.8 billion
Wanawake = 5.6 billion
Wanaumme =2.2 billion
Kati ya wanaumme 2.2 billion
1 billion= wameshaoa tayari
Million 200 =wapo jela na wengine machizi
wanabaki billion 1
Kati ya hao billion 1
Million 500 = hawana kazi
wanabaki million 500
Kati y hao
5% = mashoga
3% = walokole
10% = jamaa zako
40% = Watoto.
30% = Vijana.
15% = Waliobaki wana umri zaidi ya miaka 66
Sasa ninyi endeleeni kukataa wanaumme
Mtaani wapo wengi tu sema kuna watu wanaishi maisha ya mtandaoni tofauti na mtaani yaani wanajua wanaume au wanawake wanakuja kama upepo kumbe hata kumsalimia tu mwanaume au mwanamke usiemjua nayo ni process ya kwanza hata kama huna wazo naeInaonekana mtaani
Kuna uhaba wa wanaume
Mpaka tunataftwa jf dhaaa