Mume mwenye sifa hizi anahitajika


Mtoto hana baba au?

Mi nikajua ni vischana vya sekondary wenye hii kasumba ya ufupi urefu weupe na nini!! (Kumbe hata wa mama wa humu)

Anza kujitambua wewe then utapata mwanaume anaejitambua pia, kama huto jitambua usipoteze muda kusubiri
 
Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu....
 
Wanawake wa dar wanatafuta wanaume hii inadhiilisha wanaume wa dar hamna kitu.
 
Ukishazaa na ku regain ndo nitakuja pm sitaki kunukia maziwa ambayo wamefuga wenzangu
 
Mbona hijasema jinsia yako? Na wanaume wananyoosha tu vidole kuwa wapo angalieni msije mkaolewa maana ujasiri huo sio wa kike bali wa kiumeni kazuga tu na mpango wa kuzaa soon ... Hahahahaaaaa!
 
Mtoa mada ukifika 40 utakuja na masharti tofauti kama ifuatavyo:
1. Awe na Mbo.o
2. Awe na ndevu
3. Hata akiwa na mke mie nitakuwa mke wa pili
 
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji3] [emoji3] [emoji11]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…