Mume mwenye sifa hizi anahitajika

Kwa nini asikuoage huyo unayetegemea kumzali katoto kake.. Au iliingia kwa maji ya kunywa?
 
Vigezo vingiiiiiiiiiiiiiiiiiii..........utakawia sana......
 
Njoo wewe PM
 
Sifa zote ninazo kasoro miaka. Si mbaya tukafanya kama dogo janja na uwoya.
 
Haaa You gotta be kiddin...

Punguza criteria mamaa.. Umri unaenda..
 
Una bahati vigezo vyote ninavyo njoo pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…