Mume mwenye sifa hizi anahitajika

nipo hapa PM me
 
We mdada una hatari wewe? Unataka mwanaume aliye tayari kulea mtoto wa mwanaume mwingine uliyempata kwa uzinzi halafu unajiita Mcha Mungu! Unamaanisha Mungu huyu huyu tunayemjua au mwingine? Nimecheka kimoyomoyo kwa kweli...
 
Mbona hijasema jinsia yako? Na wanaume wananyoosha tu vidole kuwa wapo angalieni msije mkaolewa maana ujasiri huo sio wa kike bali wa kiumeni kazuga tu na mpango wa kuzaa soon ... Hahahahaaaaa!

Hahaahaa wasije wakaniniii.....!!!!
 

Hajazaliwa bado let's buy time together if don't mind
 
We mdada una hatari wewe? Unataka mwanaume aliye tayari kulea mtoto wa mwanaume mwingine uliyempata kwa uzinzi halafu unajiita Mcha Mungu! Unamaanisha Mungu huyu huyu tunayemjua au mwingine? Nimecheka kimoyomoyo kwa kweli...
Nadhani anatafuta wa kumchezea sio kumuoa
 
Duu mangi haitajiki....na inamaana aliekupa huo ujauzito kakukimbia
 
We mdada una hatari wewe? Unataka mwanaume aliye tayari kulea mtoto wa mwanaume mwingine uliyempata kwa uzinzi halafu unajiita Mcha Mungu! Unamaanisha Mungu huyu huyu tunayemjua au mwingine? Nimecheka kimoyomoyo kwa kweli...
Alivyojipendelea sasa. Katoa na mashariti kabisa "Anahitaji Mcha Mungu"
Huyo aliyempa mimba yuko wapi? Kujitunza ni jambo la muhimu sana
 
Hahaha woga ndo akili mkuu
Nyie ndo mdada mmoja humu aliwaambiaaga Na kuwapa za USO
MTU yupo serious anatafuta mume au tuseme mpenzi
We mkaka unamuita mtoto wa kike Mkuu
Please try to be Romantic khaa!;
 
Ingia maabara kamtengeneze tu Dada angu, afu weka picha yako hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…