Mume na Mchepuko wamweka Njia Panda...

Kinga iliyo salama ni kuutambua mzunguko sahihi japo unaweza kuvurugika kutokana na sababu mbali mbali.

Kinga zingine zina madhara ikiwemo ajali unayoisema.

Kama kweli mtu hujaamua kulea basi nyegezi isikuzidi akili
Asante kwa somo.....
 
Aku akawa hajui mimba ya nani?
Mumewe kamuuliza anampango gani nayo? Ukizingatia wao kama wao hawajajiandaa kuwa na familia….
Kuna watu wajinga sana,hivi inakuwaje mpo kwenye ndoa halafu hamna mpango wa kuwa na familia ?

Kama habari ni ya kweli acha wavune walichopanda,wajinga sana hao watu.
 
Unagombeza badala ya kutoa Ushauri?
Hawako sawa kiuchumi kuanzisha familia.....
Ndio yakatokea hayo
Kuna watu wajinga sana,hivi inakuwaje mpo kwenye ndoa halafu hamna mpango wa kuwa na familia ?

Kama habari ni ya kweli acha wavune walichopanda,wajinga sana hao watu.
 
Unagombeza badala ya kutoa Ushauri?
Hawako sawa kiuchumi kuanzisha familia.....
Ndio yakatokea hayo
Wajinga hao,hivi mpaka uwe na familia unatakiwa uwe na uchumi wa kiwango gani ?

Wote wana kazi umesema. Nitawashauri siku nyingine.
 
Yes....wapo.
 
Kwa nini usiseme usaidiwrje kuliko kuja AKU? AKU aka bbade umezingua sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…