[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mungu amuepushe kwakweli labda watabadilika tabia zao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mungu amuepushe kwakweli labda watabadilika tabia zao.
Umeona video ya ambarutty anafanyiwa interview eti akawa anaongea kingereza. Mimi nilifikiraga wakitoka jela wataachana na mambo haya ya kiki
Ujinga huu unahamasishwa na hizi online tv zinazoibuka daily. Zisingekuwepo tusingekua tunaona vituko vya watu wanaoibuka kila sikuWatafanyaje sasa akili zao ndo zimekwamia hapo?
Kuimba kwenyewe hawajui
Bora hata wangefungua duka wakauza
Halafu akili zao zinafanana hawa hahaha..so usitarajie kitu tofauti hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga huu unahamasishwa na hizi online tv zinazoibuka daily. Zisingekuwepo tusingekua tunaona vituko vya watu wanaoibuka kila siku
Nicely done
Mwashie rediooNatamani nimuimbie Mama Gaude na yeye awe anakatika sakafuni kama hivyo, lakini sijui kuimba.