Melubo Letema
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 416
- 414
Naona akina Neema na Sule ingawa hawavumi, lakini wamo!Wanariadha Faraja Lazaro Damas na Magdalena Shauri ambao ni Mume na mke na ni waajiriwa wa (JWTZ) wameshinda mbio za JKT Half Marathon 2023, Zilizofanyika tarehe 25 Juni 2023, jijini Dodoma.
Faraja na Magdalena walishinda mbio hizo za kilomita 21.1 (21K) kwa muda wa (1:03:45) na (1:11:22 ) na Kujinyakulia Kitita cha Shilingi milioni tatu kwa wote wawili.
View attachment 2673310
View attachment 2673315
Hapana, hakufanya mazoezi muda kidogo!Huyu failuna ndio taifa linamtegemea kumbe hakuna kitu
Hongera zao kwakweli. Ni wanandoa wachache sana wanaoweza kufanya vitu pamoja namna hiyo. Mimi mwenyewe siyo mmoja wao. Sijawahi kushirikiana na wife takribani kwa kila kitu (ukiacha bedtime).Wanafanya mazoezi pamoja. Wana hobbie moja
Mwanariadha kuna kitu kinaitwa “injury” haionekani kwa macho, ufanisi unaweza kupungua kutokana na changamoto za ki afyaHuyu failuna ndio taifa linamtegemea kumbe hakuna kitu
Wanariadha wengi wanapata ajira jeshini, so inawezekana walianza wakiwa kwenye michezo walivyotinga job wakaendeleaWanafanya mazoezi pamoja. Wana hobbie moja
Interesting sana hiiHongera zao kwakweli. Ni wanandoa wachache sana wanaoweza kufanya vitu pamoja namna hiyo. Mimi mwenyewe siyo mmoja wao. Sijawahi kushirikiana na wife takribani kwa kila kitu (ukiacha bedtime).