Mlima meru
Senior Member
- Dec 30, 2012
- 114
- 20
Anatakiwa msichana aliye tayari kuanza maisha
Wasifu wangu nitautoa baadae ila kwa kifupi; Nilipata masoma yangu Nchni Misri ila nimezaliwa na kukulia hapa nyumbani.
(Kwa watakaoleta mzaha, watakuwa wanajipotezea muda wao kwani nita ignore)
unaweza kuni pm wakati wowote,....
- 1. Awe na umri kati ya miaka 30 na 35
- 2. Awe na Elimu ya Chuo kikuu na anafanya kazi (binafsi au kuajiriwa)
- 3. Awe anaishi Arusha
- 4. Awe presentable..preferebly mweupe au maji ya kunde
- 5. Awe anapenda watu na mwenye huruma hasa kwa watoto walio mazingira ngumu
- 6. Awe mchamungu??
- 7. Awe na mwili wa wastani ila akiwa na African figure ni added advantage
- 8. Awe tayari kupima afya kabla ya kuanza mchakato
- 9. Akiwa natural ni added advantage
Wasifu wangu nitautoa baadae ila kwa kifupi; Nilipata masoma yangu Nchni Misri ila nimezaliwa na kukulia hapa nyumbani.
(Kwa watakaoleta mzaha, watakuwa wanajipotezea muda wao kwani nita ignore)
unaweza kuni pm wakati wowote,....