Mume wa dada ni yule ambaye Hana hela .

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Ukiona unaitwa mume wa dada fahamu kuwa wanakuchukulia poa yaani huna hela.

Masikini wanaongoza kwa dharau tangu Dunia kuumbwa kwake na wanaongoza kuita watu majina ya Ajabu mara tolu mara n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…