mume wa ku share nae maisha, pliz this serious.

mume wa ku share nae maisha, pliz this serious.

Mildred

Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
91
Reaction score
16
Habari zenu wadau, jamani mimi natafuta mume wa maisha awe na umri kati ya 34-36

mimi ni mwajiriwa katika company binafsi nimekamilika vilivyo.
mwanaume ambaye atakuwa tayari kuisha mwanza rock city anakaribishwa sana.:A S 12:
 
Kila la kheri shosti. Ila kama ungejieleza wasifu wako labda ingesaidia kupata yule mnayeshabihiana vizuri
 
mwanaume ambaye atakuwa tayari kuisha mwanza rock city anakaribishwa sana.:A S 12:[/QUOTE]A

Kila la kheri na hii ndio Analog to Dijitol
 
Jamani wakaka mbona mkuwa adimu hivyo?? Hebu jitokezeni, mwenzenu ubaridi umemzidia mwanza huko, khaaaaaa!
 
Habari zenu wadau, jamani mimi natafuta mume wa maisha awe na umri kati ya 34-36

mimi ni mwajiriwa katika company binafsi nimekamilika vilivyo.
mwanaume ambaye atakuwa tayari kuisha mwanza rock city anakaribishwa sana.:A S 12:

Hapo kwenye bold unamaanisha nini? Ni nzuri tukafahamu kabla ya kutuma application!
 
Dah, umri unaniangusha sana! Naomba niwe MC ktk sendoff na harusi yako.. Ntajitolea bure kabisaaaa..
 
Habari zenu wadau, jamani mimi natafuta mume wa maisha awe na umri kati ya 34-36

mimi ni mwajiriwa katika company binafsi nimekamilika vilivyo.
mwanaume ambaye atakuwa tayari kuisha mwanza rock city anakaribishwa sana.:A S 12:

Ninavigezo vyote kasoro kimoja tu cha umri so sad.
 
Poa dada mi nipo tayari ila punguza vipezo kidogo make umri wangu ni miaka 33.
 
Sasa wanawake wa dah ndo hamtaki wanaume au!

Sent from my BlackBerry 8520
 
Mimi ninamiaka 23 niko mwanza, uhuru street, kama vipi tuwasiliane, sijaoa na wala sinamchumba umri kwangu sio tatizo.
 
Mtafute kwenye 0784309239 vyote anavyo vigezo
Habari zenu wadau, jamani mimi natafuta mume wa maisha awe na umri kati ya 34-36

mimi ni mwajiriwa katika company binafsi nimekamilika vilivyo.
mwanaume ambaye atakuwa tayari kuisha mwanza rock city anakaribishwa sana.:A S 12:
 
Habari zenu wadau, jamani mimi natafuta mume wa maisha awe na umri kati ya 34-36

mimi ni mwajiriwa katika company binafsi nimekamilika vilivyo.
mwanaume ambaye atakuwa tayari kuisha mwanza rock city anakaribishwa sana.:A S 12:
Nimekua nikitafuta nikitafuta sugar mammy kwa muda mrefu bila mafanikio...hebu check na mimi kwa mawasiliano zaidi!
 
Nimekua nikitafuta nikitafuta sugar mammy kwa muda mrefu bila mafanikio...hebu check na mimi kwa mawasiliano zaidi!
poa usijali. jamani some people are not serious here wao wanafikiria kuwa ni jokes tu all the time, haya ni mapenzi sio siasa people learn from your mistakes.



 
Back
Top Bottom