Mume wa kunistiri uko wapi jamani?

Pleas kuna vtu mhm
Kama
Umri
Kabila lako
Na pia kama tyari ushapgana vta ya kwanza ya dunia tujue
 
Nip ap bibi nichek thuger433@gmail.com
 
vigezo vingine vyote nnavyo uandunje ndio umenikosesha mke hila mnafanya sio poa hatujapenda kuwa andunje wenzenu msitufanyie hvyo.
 
We ndio mke wa kuoa kwa kweli
Ucha Mungu na ibada ni lazima
Nakuombea upate wa kukusitiri sema Amiin
 
kila la heri ukipata nijuze nami nianze kutafuta kwani nahisi wa kunistiri nami huwenda nikampata humu
 
1)Unapendelea tuishi wapi? 2) Umesema awe muisilamu, mkristo hupendi kabisa? Urefu wako ni cm ngapi? 3) umemaliza elimu ya secondary angalau na kupata cheti? Asante. Kama uko poa kwa hayo ni PM basi.
 
ni pm tuyajenge.
nina sifa zote.
 
Hat yule wa DSM aliyetoa mwaka mmoja kwa Mangi, naye ni walewale. Anachapa na kutelekeza. Sembuse sie. Apunguze masharti ili apate wa kudumu nae.
 
Hakuna kitu kigumu km mke katika dunia hii.
Mungu saidia mimi nitulie na wamitaani kwanza.
Kuoa ni kujitia presha bure . Nina jamas yangu kaoa mpk namuonea huruma coz anahangaika na mwanamke mara adukue simu yake .. daah mpk namuonea huruma kwa kweli [emoji24][emoji24][emoji24] mkitafuta wanaume wafanyeni wawaamini wasiishi nanyi kiumashaka .
LOVE AND PAIN si nzuri
 
Nifuate inbox 0678316673
 
Jamani dunia ina Mambo. Umetembea na Wangapi? Ndo unataka sasa wa kuja kumalizia makombo? Tafuta kene hio listi yako mama sisi huku Jf ni wa kuchart tu. Labda tukusaidie kukutongoza tu kama hujatongizwa muda mrefu
 
Jamani dunia ina Mambo. Umetembea na Wangapi? Ndo unataka sasa wa kuja kumalizia makombo? Tafuta kene hio listi yako mama sisi huku Jf ni wa kuchart tu. Labda tukusaidie kukutongoza tu kama hujatongizwa muda mrefu
Hahaha aiseee usiusemee moyo wa mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…