Mume wa kunistiri uko wapi jamani?

Hapana mkuu hajakufuru bali ni uchaguzi tu, kwani pamoja na kigezo cha uchmungu lakini kuna vigezo saidizi pia.
Mtizamo wangu hajakosea kwani mungu kaumba tofauti tofaiti ili sisi viumbe tuwe huru kuchagua vile tuvipendavyo katika vilivyo halali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado hujafanikiwa?
 
Nimekidhi vigezo vyote [emoji4]
 
Huu uzi ukiu-edit kidogo tu unageuka barua ya kazi [emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…