bahaticaro
Senior Member
- Jul 20, 2012
- 100
- 31
dah! inaniuma sana nilipata boyfriend na nikampenda sana kumbe ana mke na mtoto mara ya kwanza aliniambia kuwa ana mtoto ila haishi na huyu aliyezaa naye nikamuuliza sababu akasema kuwa huyo mwanamke alimdharau na pia hakutaka kumuoa alikuwa anataka mtoto tu.. baada ya muda nikagundua kuwa dada aliyezaa naye anampenda na kuna muda anaenda kwake juz kati tena huyu boyfriend ananiambia et baba yake mzaz huyu boyfriend kamleta huyo dada aishi kwake kwa kumlazimish mim nikamwambia ni vizuri bas tuachane ili yeye aishi vizuri na mke wake et ananiambia kuwa anaish naye nyumba moja ila hamna communication yoyote na huyo dada na kila mtu analala kwake.....inaniuma kwasababu mimi ndiyo ninaye sababisha huyo dada kufanyiwa vituko na nikimwambia tuachane ananitishia.naombeni ushauri jaman nifanyeje?