Mume wa mwalimu aliyefariki katika shambulizi lililoua watoto 19 shuleni naye afariki

Mume wa mwalimu aliyefariki katika shambulizi lililoua watoto 19 shuleni naye afariki

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
MHVJEAVKEZGQTIFXS4LVT6FE5U.jpg

Mume wa Irma Garcia, mwalimu ambaye ni mmoja wa walioualiwa katika shambulizi lililotokea shuleni na kuua pia Watoto 19, amefariki kwa shambulizi la moyo.

Memba mmoja wa familia amesema kuwa Joe Garcia aliumizwa sana na kifo cha mkewe, akawa ni mtu mwenye majonzi na hiyo inasadikika imechangia kifo chake, siku mbili tu tangu mkewe auawe.

Joe na Irma Garcia walikuwa wanandoa ambao walifunga ndoa miaka 24 iliyopita. Wawili hao wameacha watoto wanne.

Irma Garcia alifundisha katika Shule ya Robb Elementary kwa miaka 23.

======

The husband of Irma Garcia, a fourth grade teacher killed during the Uvalde school shooting, has died of a heart attack, two days after the massacre, according to family and multiple reports.

Joe and Irma Garcia were high school sweethearts who were married for 24 years.

A family member said in a GoFundMe that they believe Joe Garcia “died of a broken heart.”

A gunman went on a rampage at Robb Elementary School on Tuesday, killing 19 children and two teachers.

The attack was the deadliest school shooting in the nation since the massacre at Sandy Hook Elementary in Newtown, Connecticut.

Irma Garcia had been teaching at Robb Elementary for 23 years, the Dallas Morning News stated. The couple leave behind four children.

Source: WDBJ7
 
Sijui kwanini Republican hawatagi sheria ya kuzuia umiliki holela wa silaha. Kila muswada ukipelekwa bungeni wanaupinga toka enzi za Obama.

Eti wanasema ni haki ya mtu kuwa na silaha kujilinda. Hata Australia ilikuwa na hili tatizo, wakauawa watoto sijui mwaka 1997, wakapitisha sheria ya kuthibiti umiliki wa silaha, na hili halijawahi kutokea tena.

Texas mtu anaruhusiwa hata kumili assault riffles.
 
Pole kwa wanafamilia,so far toka nmejua wayafanyayo marekani duniani,matukio kama haya nmekua nikiyapenda yatokee kwao wapate chembe chembe ya kile wengi tunapitia kutokana na uzwazwa wao.

Mwingine atasema thy ar innocent,thy are not,wanaandamanaga kwa wingi kupinga mashoga walibugudhiwe na ujinga mwingine mwingine ila nchi yao kufanya mauaji kwa nchi nyingine kwa sababu za kipuuzi hawaandamani,so waache wafe.

KUIMBA KUPOKEZANA
 
Mbongo hapo anawaza kuingiza mchepuko ndani.

Walipendana
 
Mbongo hapo anawaza kuingiza mchepuko ndani.

Walipendana
Kama ulikua Mke kero,mchepuko unaingia usiku huo huo wa mazishi yako! Lakini Kama ulikuwa Mke mwema hata hizo nguvu za kuwaza michepuko itatoka wapi!!?? Zaidi zaidi lazima na wwe mume utaanza kuumwa tu kwa kopoteza Mke mwema, na huwa hawapatikani kirahisi!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Nimebisha.Weka ushahidi.
1. Samson na Delilla, Samsoni ndio alikufa kwasababu ya kumpenda Delilla na Delilla akabaki
2. Huyu mwamba hapa KAFA kwasababu ya stress za kuondokewa na mpenzi wake lakini wapo wajane kibao na wana nenepa ilihali waume zao wamekufa, means hawana stress kabisa za kuondokea na wapenzi wao.

Vipi, niendelee? Joke of the day
 
Kama ulikua Mke kero,mchepuko unaingia usiku huo huo wa mazishi yako! Lakini Kama ulikuwa Mke mwema hata hizo nguvu za kuwaza michepuko itatoka wapi!!?? Zaidi zaidi lazima na wwe mume utaanza kuumwa tu kwa kopoteza Mke mwema, na huwa hawapatikani kirahisi!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hahahaha [emoji23][emoji1787] kwahio kama alikua mke kero usiku huohuo .........
 
Back
Top Bottom