Keleuwiiiii....ngachoka chokiii....
Maneno mazuri haya vijana wangekuwa wanayapata na kuyatafari huku akili ikiwa neutral ndo nyingi zingekuwa zinadumu tatizo watu tunafanya maamuzi tukiwa na hasira
Asante Sana kwa tuliokuwa gizani, hongera kwa taarifa hizi.
tuseme wote kwa pamoja AMEEENE Mungu wasaidie wawili hao katika umoja wao (ndoa)
Daaa matomaso mpo wengi au ulikuwa unataka uitwe ukawashikie miguu ndio uamini kazi kwelikweli.
usifanye haraka kukasirika nafsini manake hasira hukaa kifuan mwa --------...............
am telling you wakiruhusu media kua msuluhish tayari wataibomoa ndoa yao. wakikaribisha wanakamati tayari wameibomoa. wamkaribishe kristo awasuluhishe naamini itapona tu. hakun jambo gumu kumshinda yeye Mungu.
je unadhani wao wawili wakikaa chumban na kuombana msamaha kisha wakapatana na kuruhusu amani iwatawaele wapambe watapata nafasi??
wawafikirie wato wao, wanavyoumia kwa habari hizi kupamba magazetini na mitandaon wawaonee huruma wanateseka sana. hebu waache utoto wakue kiakili kwasaabbu haya hayana faida kwa yyte kati yao zaid ya hasara, na kujipatia jina baya.
amefanya Jema.... Asingekimbia kuna mengi yasingekua waziHuyo Mbasha ni mbakaji tu, kama hakutenda kosa hilo kwanini alikimbia?? Mvua 30 zinamhusu tu...
Jamaa yupo maana last activity naona yupo baada ya muda si mrefu...
Join Date 7th May 2013 Last Activity Today 09:58 Avatar
Hivi kwanini Flora ulienda kuishi guest/ lodge??? Alikosa kabisa mahali pengine ambapo ni salama??
acha kuhukumu maana mpaka sasa hakuna ushahidi ulio wazi!!
"Tangu nikuoe,Sijajuuuuta"
bingwa wa kuiba wake za watu JIGWAMA