Matokeo ya vipimo ambavyo vilifanywa na daktari kung'amua kama binti huyo aliingiliwa vinaonyesha kuwa kulikuwa na mbegu utokaji wa mbegu usio wa kawaida (HVD).
Kazi ipo!! Watafanyaje ili kuupata mshabihiano wa hizo seeds!! (I mean mfanano kati ya zile zilizoko Amana na hizo anazokimbia nazo mtuhumiwa)
Mtaichimba masho sana lakini mtazama wenyewe na skendo zenu kwa watu wa Mungu.
Flora alitakiwa awe na mme wake bega kwa bega,naona familia ya flora wanamwona Emma kama marioo,hana faida yoyote kwao.namwonea huruma,nakumbuka kesi ya ubakaji ya yule raisi wa IMF DSK,mke wake alisimama na mme wake hadi kesi ikaisha.Baada ya mzee kuwa huru ndo wakaachana,Ila Imma kabaki peke yake
Yule binti alitumwa...hivyo ili apate ushahidi ilimlazimu amrubuni jamaa amwingilie mfululizo ili shaahawa zimjae ndiyo apate ushahidi mzuri kwa daktari " Shahawaa utokaji wake usio wa kawaida" Duh....hatareee
hizi dini hizi ! Hawa wanajiita walokole ni watu hatari sana ,inakuwaje mtu anaibuka from no where ni tajiri wa nguvu ....!eti anaendesha kanisa ! Mimi nitabaki huku kwetu kkkt ,angalau kuna taasisi na uanaona mabo yanaenda hata kama si 100% ,mungu awalaani wachungaji ,mitume wanaodanganya watu
'tangu niolewe sijajuta'
"Tangu nikuoe,Sijajuuuuta"
yani nimeboreka mie jaman.mnatuunganishia tu thread ile ya Gwajima mmeifunga
Keleuwiiiii....ngachoka chokiii....
Flora ni malaya tangu akiwa mdogo. Na mbasha alionywa kumwoa flora, lakini kwa kutosikia alimwoa kwa sababu tu ni mjukuu wa Kulola (RIP). Sasa kulola hayupo aliyekuwa anawasimamia ni laizma hiyo ndoa ife, piga ua.
Hahahaaa mshiki
Umenena bro yan huyo dada ni hatari babu alivyoona posa akasema haleluya mana alikua kicheche balaaa
Heaven on Earth hivi umepita huku Leo?
wanafunga tu thread hawa modes
Wabongo jobless mnapenda sana UZUSHI ..
yani nimeboreka mie jaman.
MCHUNGUZI HURU umenikwaza ujue ntakufata mpaka kazini kwako yan nlivyo n mcheche hapa i wish The bold angekuja kutoa neno hata tujue ka mzima.
Nabii haguswi kuna mchezo unafanyika hpa kuficha hii skendo,hpa hela ndio hupewa nafasi mbna thread hii yakawaida sana wa2 tunataka kujua ukwel wao wanabania