ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
Ndio maana wengine ukristo wetu ni kwenda kanisani na kurudi baasi....
habari sijui injili Mara hiki au kile tupa mbali binadamu tumebadilika sana huyo demu anabebwa na nabii...
Ndo maana sisi waprotestant na wakotoliki hatuna mbwembwe kama za wenzetu hao.
Najaribu ku connect dots na ile clip inasambazwa whatsApp, inawezekana ni kweli kabisa huyu jamaa kabaka
Kule kwenye clip ya audio alikua akijisifu pia amemkutanisha flora na watu wakubwa, hapa pia amerudia maelezo hayo hayo
Mkewe kuhamia hotel inawezekana ni kutokana na tabia zake mbaya
Hata kushinda Gym masaa 10 inawezekana ni sababu ya vijitabia akaamaua mama wa watu ajiweke busy na Mazoezi
Huyu jamaa kabaka kweli
In this world nothing is certain than Tax and Death.
Najaribu ku connect dots na ile clip inasambazwa whatsApp, inawezekana ni kweli kabisa huyu jamaa kabaka
Kule kwenye clip ya audio alikua akijisifu pia amemkutanisha flora na watu wakubwa, hapa pia amerudia maelezo hayo hayo
Mkewe kuhamia hotel inawezekana ni kutokana na tabia zake mbaya
Hata kushinda Gym masaa 10 inawezekana ni sababu ya vijitabia akaamaua mama wa watu ajiweke busy na Mazoezi
Huyu jamaa kabaka kweli
In this world nothing is certain than Tax and Death.
Najaribu ku connect dots na ile clip inasambazwa whatsApp, inawezekana ni kweli kabisa huyu jamaa kabaka
Kule kwenye clip ya audio alikua akijisifu pia amemkutanisha flora na watu wakubwa, hapa pia amerudia maelezo hayo hayo
Mkewe kuhamia hotel inawezekana ni kutokana na tabia zake mbaya
Hata kushinda Gym masaa 10 inawezekana ni sababu ya vijitabia akaamaua mama wa watu ajiweke busy na Mazoezi
Huyu jamaa kabaka kweli
In this world nothing is certain than Tax and Death.
Unauhakika huyo uliemskia kwenye clip ndo mbasha? Au na ww unaweweseka kama watetezi wa huduma,,?
Kwa wanaomjua FLora akiwa Mwanza kabla hajaolewa baadae kudahi kaokoka kwa kupitia kanisa la mjomba wake mzee Kulola hatushangazwi na aliyomfanyia mumewe.hata hivyo huyo mumewe inabidi ajilaumu yeye mwenyewe kwani alimuoa huku akijua tabia zake zote.
Najaribu ku connect dots na ile clip inasambazwa whatsApp, inawezekana ni kweli kabisa huyu jamaa kabaka
Kule kwenye clip ya audio alikua akijisifu pia amemkutanisha flora na watu wakubwa, hapa pia amerudia maelezo hayo hayo
Mkewe kuhamia hotel inawezekana ni kutokana na tabia zake mbaya
Hata kushinda Gym masaa 10 inawezekana ni sababu ya vijitabia akaamaua mama wa watu ajiweke busy na Mazoezi
Huyu jamaa kabaka kweli
In this world nothing is certain than Tax and Death.
Najaribu ku connect dots na ile clip inasambazwa whatsApp, inawezekana ni kweli kabisa huyu jamaa kabaka
Kule kwenye clip ya audio alikua akijisifu pia amemkutanisha flora na watu wakubwa, hapa pia amerudia maelezo hayo hayo
Mkewe kuhamia hotel inawezekana ni kutokana na tabia zake mbaya
Hata kushinda Gym masaa 10 inawezekana ni sababu ya vijitabia akaamaua mama wa watu ajiweke busy na Mazoezi
Huyu jamaa kabaka kweli
In this world nothing is certain than Tax and Death.
Najaribu ku connect dots na ile clip inasambazwa whatsApp, inawezekana ni kweli kabisa huyu jamaa kabaka
Kule kwenye clip ya audio alikua akijisifu pia amemkutanisha flora na watu wakubwa, hapa pia amerudia maelezo hayo hayo
Mkewe kuhamia hotel inawezekana ni kutokana na tabia zake mbaya
Hata kushinda Gym masaa 10 inawezekana ni sababu ya vijitabia akaamaua mama wa watu ajiweke busy na Mazoezi
Huyu jamaa kabaka kweli
In this world nothing is certain than Tax and Death.
Haya maelezo hapa ndo yananofanya niamini yule ni mbasha
Wewe isikilize ile clip, kisha soma haya maelezo you will notice something similar, kama haya maelezo hapa kweli ni ya huyo mjamaa basi hata ile clip ni yeye.
In this world nothing is certain than Tax and Death.
huyo aliyetoa hii post akinijibu haya maswali nitamwelewa, huwa sipendi kurun into conclusion... napenda kuhakikisha.
-Frola na mumewe walihamia mwezi gani ufufuo na uzima?
-Mikutano ilianza lini?
-je huo muda kati ya mwezi aliohamia Frola na mmewe hadi kipindi mikutano inaanza ni kipindi cha muda gani? mana hapo kati ndo umesema Frola alipelekwa na Gwajima UK kusoma na Gwajima ambaye hawezi kupita miezi miwili bila kwenda UK, akawa anaenda huko MARA KWA MARA na kuonana na Frola..sasa kwani ni miezi mingapi hapo kati? kwamba ni mingi hadi Gwajima akawa anaenda mara kwa mara (interval uliyoweka 2 months)! even if unamaanisha kile kipindi baada ya mikutano iliyoisha 30/31st December, 2013... je Frola mwanzoni mwa mwaka huu alivyoenda UK alikaa muda gani.. mwezi uliisha??
-Alienda bila mumewe? kama ni kipindi hicho Gwajima alisafiri?
-hiyo course ilikuwa ya muda gani? ... bila shaka very very short course.. ilikuwa ya nini aisee? ...
-hivi shortcourse fupi zaidi ambayo ni rasmi kabisa kiasi kwamba unaweza kuisafiria ni ya muda gani?
-je mikutano ilifanyika nchi nzima???????
-na katika hiyo mikutano... Frola hakuwa na mmewe??? alikuwa mwenyewe???
naomba majibu[/QUOTE
unatokea kituo gani afande??
Ndugu hiyo habari ya kumkutanisha flora na watu wakubwa inawezekana aliitoa kabla watu wakamtengezea sound tuleteeni picha za huyo binti yaani mtu ubakwe ijumaaa unasikilizia tu maumivu hata usiwe na hofu ya kumwambia nduguyo au hata kukimbilia polisi asubuhi kutoa taarifa jumapili tena kwenye gari tena asubuhi na jioni we bado upo tu halafu break ya kwanza kwa gwajima kwa nini hakwenda police au kuwaambia ndugu zake? Acheni hizo hata kama katembea nae haka kabinti katakuwa ndio mchezo wake na huyo flora analo kwa nini alihama nyumba anawacha mahouse girl na huyo mdogo wake wa kufikia kwa mume ? Halafu eti unaenda kuishi hotelini hana wazazi? Mtu una kwenu na kweli umeparangana na mmeo kiubinadamu lazima utafute faraja za ndugu kwanza huko hotelin alipoenda kukaa alikuwa anafarijiwa na nani? Sijawahi ona hii makitu kweli pesa shetani.
aliyekula mke wake ndo atoe hela
Kama kweli Mungu kawatuma hawa akina Gwajima na wenye kufanana na yeye basi aongeze eneo la jehanamu maana mimi ni miongoni kati ya waendao motoni sijawahi kuwaamini daily wanafanya miujiza ya uongo ni bora nikamsikilize alielazwa pale milembe ila sio hawa.