Mume wa rafiki yangu

ukiwa makini utalinda ndoa ya rafiki yako

ukilegeza kamba utaibomoa ndoa ya rafikiyo,

hata hivyo onesha kwamba hupendi toka moyoni ushenzi wake,

usidanganyike na sifa akupazo, wewe si mzuri kuliko mkewe amini hivyo,
 
ukiwa makini utalinda ndoa ya rafiki yako

ukilegeza kamba utaibomoa ndoa ya rafikiyo,

hata hivyo onesha kwamba hupendi toka moyoni ushenzi wake,

usidanganyike na sifa akupazo, wewe si mzuri kuliko mkewe amini hivyo,

Asante anyisile, hapo kwenye bold ni kweli kabisa hasa tukizingatia uzuri ni perception. Kama wachangiaji wengine walivyesema, huyu jamaa anaonekana ama mkware mzoefu au ana kipaji cha kutumia maneno - buttering...anaweza kukupa sifa hata usizonazo ili kufikia lengo.


Annina


 
umakini wako utakusaidia sana kama ukiamua kuwa hivyo, kwa nini nimesema hivyo!
kwa uzoefu wangu na ndoa naamini mtu unapofikia kuoa/kuolewa, it means umejiandaa na kujua hakuna atakayetokea mzuri kuliko mkeo/mmeo, hivyo asikubabaishe na maneno ya kuufurahisha moyo ili uwe mmoja wavunjifu wa ndoa za watu, kwanza vipi asifu maungo yako? huyo ni firauni tu asotosheka
 

Anyisile, umesema sawa, shukran.

Annina
 
Ila bulaza ana mistari..
 
1.sio SIRI kwa namna fulani unampenda huyo jamaa
2.kwa utafiti wake na kwa taarifa anazozipata toka kwa mkewe anajua fika atakuopoa.
3.Kama kweli Humpendi, basi fanya kitu ambacho hatakuja kisahau maishani na atakuepuka akikuona.
4.Unajua NO zingine toka kwa akina dada ni sawa na YES na sitaki zingine ni kama nataka....HAJAKUELEWA...SASA FANYA HIVI.
Hakuna kitu anachochukia mwanamme duniani kama kudharauliwa,tena na mwanamke,isitoshe mbele ya mkewe???!!!!!! aisee.
kwa kujua hilo kwa mfano siku amekukumbatia ungesema tu kwa mshangao mkubwa kuwa '' duuuh sijawahi kuona mwanamme mwenye harufu mbaya/domo linanuka kama mmeo shoga,aisee unaishije nae huyu jamaa shoga yangu?????'' unafanya hivyo huku unakunja uso na ukijifanya unataka kutapika''.Unadhani siku nyingine atakukumbatia???Lakini fanya hivyo ukiwa na tahadhari ya kukwepa kibao toka kwake.
5.Kama hiyo haitoshi mwonyeshe dharau yoyote tu mbele ya mkewe.mfano kama ni mfupi kila ukikutana nao sema '' mi wanaume mbilikimo siwataki kabisa huku ukimtupia macho. na kama ni mrefu sema'' mi wanaume mingongoti na mimi tofauti kabisa''.
6.Ukimwepuka ataendelea kukufuata tu kesha penda,ukimpeleka polisi bado UNALO......
dawa ndio hiyo mfanyie vitendo vitakavyoonyesha kuwa umemdharau sana.Halafu baadae mkiwa na shoga yako mwombe radhi kwa kumdharau mkewe.
7.Au labda shoga yako ndie aliependekeza kwa mumewe kuwa wewe unampenda sana.....ili ukiingia KINGI basi nae amdake au amchukue mmeo akuachie GALASA uhangaike nalo? ha ha ha ha ha.......mjini hapa mama.
haya hiyo ndio kwinini nimekupa. ukitaka meza upone hutaki ni juu yako.....siku si nyingi utaanza kumwambia...''i miss you''
SAMAHANI WANA JF KAMA NIMEWAKWAZA
 
Asante Tall kwa kwinini...natumai nitapata nafuu ya haraka na hatimae kupona kabisa - kama ndio dozi ya ugonjwa huu! Nashukuru pia kwa tahadhari ya kujiweka tayari kukwepa vibao nadhani sio tu kutoka kwa mume bali pia kutoka kwa rafiki yangu maana hata kama wana tofauti zao, sidhani kama atakuwa radhi mume wake adharauliwe kiasi hicho mbele yake, kimsingi kashfa hizo zitakuwa za mke zaidi kwa kushindwa kumtunza mume wake lol!


Annina
 

Ha ha haaaa Nimesoma tena Nimcheka sana, Annina kaa mbali coz the guy has damn good romantic verses any girl would like to hear

Mchana mwema jamani
 
Pole dada, suluhisho naona ni kumkabili mkewe na kumueleza usivyopendezwa na tabia yake hiyo mbovu. Kama unaonesha kukerwa pale anapofanya hivo mbele ya mkewe lkn bado hujalisema wazi, mkewe atadhani kuwa unatumia janja ya "Sizitaki mbichi hizi" kwa vile mwanamke yupo.
Kuwa muwazi.
 

Pretty ulitumia njia gani kum mwaga huyo jamaa? mana wenzako wanatumia parking moja...
 
nimependa tu pale kuwa uan umbo la kampeni
 

haaaa haaa hiii kali ya leo leo!
 
Kwa vile umesema uko karibu kiasi na hiyo familia, unaweza kucomment juu ya quality ya uhusiano wa hiyo married couple? Napata taabu kuelewa jinsi ambavyo mwanaume anaweza kumsifia mwanamke mwingine right in front of her like that bila mkewe kukerwa...

Maybe wana uhusiano mzuri uliojaa utani kiasi kwamba kwao it is not a big deal... or maybe wana joint crusade ya kukuingiza na wewe katika uhusiano wao... 😛ainkiller:
 

Hivi ni nini maana ya udhalilishaji? Yaani mwanaume akikusifia kwamba una umbo la kampeni (hii nimeipenda, nitaitumia kutongozea Uswahili kwetu), macho mazuri, lips za kufa mfu na ngozi nyororo anakuwa amekudhalilisha ?
 

I guess the chemistry is there, that is why is being over-protective. Maana anajua akijilegeza kidogo tu kamaa anakula mzigo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…