Hivi ni nini maana ya udhalilishaji? Yaani mwanaume akikusifia kwamba una umbo la kampeni (hii nimeipenda, nitaitumia kutongozea Uswahili kwetu), macho mazuri, lips za kufa mfu na ngozi nyororo anakuwa amekudhalilisha ?
Kwa vile umesema uko karibu kiasi na hiyo familia, unaweza kucomment juu ya quality ya uhusiano wa hiyo married couple? Napata taabu kuelewa jinsi ambavyo mwanaume anaweza kumsifia mwanamke mwingine right in front of her like that bila mkewe kukerwa...
Maybe wana uhusiano mzuri uliojaa utani kiasi kwamba kwao it is not a big deal... or maybe wana joint crusade ya kukuingiza na wewe katika uhusiano wao... 😛ainkiller:
Mkuu hiyo angle uliyopiga wewe hats off. Yaani umeangalia upande ambao hakuna mtu aliyeufikiria hadi sasa hv. au ndio thinking out of the box hyo.Inawezekana mtu na mkewe washakubaliana wanatafuta mtu wa kufanya naye threesome.
Wee mume gani atasema mineno yote hiyo kwa mwanamke mwingine huku mke wake yuko hapo hapo?
Kwa vile umesema uko karibu kiasi na hiyo familia, unaweza kucomment juu ya quality ya uhusiano wa hiyo married couple? Napata taabu kuelewa jinsi ambavyo mwanaume anaweza kumsifia mwanamke mwingine right in front of her like that bila mkewe kukerwa...
Maybe wana uhusiano mzuri uliojaa utani kiasi kwamba kwao it is not a big deal... or maybe wana joint crusade ya kukuingiza na wewe katika uhusiano wao... 😛ainkiller:
Sijui nikufanyeje wee mtu upunguze unoko wako japo kiduchu LOLhapo na mie ndipo panaponipa tabu, mana ingekuwa ni mie mhhh cjui!
Sijui nikufanyeje wee mtu upunguze unoko wako japo kiduchu LOL
Katika tabu na raha nitakupenda. Naanza na tabu ili nimalizie na raha lolcjui kwa kweli utanifanyaje love, mana upo kwenye damu...lol
ni-PM basi Annina maana kama ujumbe umefika.Sikulaumu...
Annina
Nilikuwa najiuliza ni saa ngap nitamsoma carmel....thanx mamakama ni kweli basi kuna wanaume kweli hawana adabu
It seems Sister to some extent attention (sio udhalilishaji kama,kama ingekuwa ungeshachukua hatua za kisheria) ya jamaa ime draw attention yako pia..na ukiendelea kusuasua kutoa maamuzi sahihi walah utakuwa chakla ya mshikaj very sooooon.Kuathirika kwa mke na watoto yatakuwa ni matokeo ya matendo ya huyo jamaa. Vile vile nilitegemea na wewe mwenyewe ungejiona mwathirika (kwa sababu umesema unadhalilishwa) lakini sidhani kama unaliona hilo na kama unaliona basi unalifumbia macho. You can't be serious sister girl.
Fataki wako wengimume nae akaja akafanya kama mke wake hii ni mara ya kwanza kwa yeye kunihug, akashtuka kama kapigwa shoti na akasema nina ngozi laini hajapata kuona!
Inaonyesha anamnyanyasa sana mkewe to the extent kwamba hana say mbele yake.mke wake pia amekosa amani.
Fataki wako wengi
Inaonyesha anamnyanyasa sana mkewe to the extent kwamba hana say mbele yake.
All in all ni tabia mbaya na amewadhalilisha wanaume wote waliooa