Mume wa Wolper

Duh!
Jamaa ndio namuona leo...

Mbona hawana chemistry yoyote
 
Mwanaume wa mkoani kazi kazi sura ngumu kama kishoka
 
Unamjua Mdudu Kaa?
 
hivi kuna mwanaume mzuri, mm binafsi ukiniambia mzuri ni ugomvi wa kufa mtu,
 
Dah hivi wolper ndio alikua akimchamba marehemu Ndikumana ana sura mbaya.....
Hii sura ya mchumba wake siiongelei namuachia Mungu.
Lkn shosti mbona hata harmonize sura ilikuwa ile ile?

Nisame tu huyu Dada hanaga baharini ya mabwana. Tens Bora alivyo kuwa maswali kijitonyama Lutheran, labda iyo gundu ingemtoka. Lkn kwasasa kaamua kuwa mpagan ndio kabisaaa
 
Aliwahi kumsema Ndikumana ana sura mbaya...hii ya huyu bolo yang ni kama anaugulia maumivu
Ameshangilia mahari hajuagi huwaga wanakata kona hao!
Tatizo kila kitu anadolishia kama mshamba fulani.
Huyu binti hajui maisha hata kidogo. Halafu ni mtu asokuwa na bahat si ya pesa, bwana, wala heshima.

Sijawah kuona mahali amepewa heshima ama hata yy amejipa heshima. Akiopoa bwana hawaelewekagi mara kitoto, mara sura ngumu, mara mishen town, mara pusha yaan ni huruma kwakwel.
.muda mwingine unasema labda kwasabb siku hizi ameacha kwenda kanisan. Sasa tusemeje?
 
Lkn shosti mbona hata harmonize sura ilikuwa ile ile?

Nisame tu huyu Dada hanaga baharini ya mabwana. Tens Bora alivyo kuwa maswali kijitonyama Lutheran, labda iyo gundu ingemtoka. Lkn kwasasa kaamua kuwa mpagan ndio kabisaaa
kwakweli hana bahati....
Ndo nlimshangaa alivomsema marehemu wakati harmo sura yake teh, tena bora harmo huyu mpya dah sijui ni ba mutu ba wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…