Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 265
- Thread starter
-
- #21
Kwa maneno haya, kama mtoa mdada mshipa wa aibu bado unafanya kazi, akimbie aishie kabisa. Lakini kwa sababu ya ujeuri unaweza ukamkuta bado ana nguvu za kubisha na kuendelea na upumba wake!!!!
Aibu kweli kujiita mfuasi wa u-turn. una mmeo bado unabadilishana simu na mzungu, makalio yangu. kwenda zako, subiri nyie walamba makalio ya wazungu koko
haswaaa!!!wa jf kwa memory,ndio wenyewe,ukiteleza tu unakumbushwa
Inaoneka mujungu kakukaa kichwani unakubl kuvunja mahusiano coz mujungu?au kakuahd visa na passport?Usiache mbachao kwa Msala .............?Anza kumuua wewe kabla hajakuuamimi ni mshabiki wa blogu ya u-turn, ila mume wangu kwa muda wa miezi minne sasa amekuwa na kisirani kweli heti, kisa mimi kuitembelea hiyo tovuti ya uturn. sababu zake ni kwamba nina ujeuri. basi kuna rafiki yangu mmoja ambaye ameolewa na mzungu aliniita nyumbani kwake. shemeji yake ambaye pia ni mzungu alikuwepo hapo. tukapata vinywaji kidogo, na kubadirishana namba za simu na huyu shemeji yake. mara kadhaa tumewasiriana kama marafiki tu, mume wangu akatokea kuona text moja niliyotumiwa na huyu mzungu mabayo ilikuwa tu ni knijulia hali, matokeo yake kaja juu na kunipiga sana. Alinifukuza kwa siku 4, pia ananitishia kuniua iwapo sitasitisha mawasiliano na huyu mzungu pamoja na kuacha mara moja kutembelea blogu ya uturn. Hataki hata urafiki wangu na yeyote ambaye ana uhusiano na huyo dada mwenye blog ya u-turn. Anasema heti nikiendelea kutokumsikiliza ataniua na huyu mzungu, wakati mzungu wa watu hana hatia yoyote? Jmani huu si ni ubaguzi wa rangi? kwa nini anifukuze au kuniua, kisa urafiki na mtu wa rangi tofauti, hii kweli ni haki? mm urafiki na mzungu siachi, na uturn siondoki, huu ni unyanyasaji wa kijinsia
mimi ni mshabiki wa blogu ya u-turn, ila mume wangu kwa muda wa miezi minne sasa amekuwa na kisirani kweli heti, kisa mimi kuitembelea hiyo tovuti ya uturn. sababu zake ni kwamba nina ujeuri. basi kuna rafiki yangu mmoja ambaye ameolewa na mzungu aliniita nyumbani kwake. shemeji yake ambaye pia ni mzungu alikuwepo hapo. tukapata vinywaji kidogo, na kubadirishana namba za simu na huyu shemeji yake. mara kadhaa tumewasiriana kama marafiki tu, mume wangu akatokea kuona text moja niliyotumiwa na huyu mzungu mabayo ilikuwa tu ni knijulia hali, matokeo yake kaja juu na kunipiga sana. Alinifukuza kwa siku 4, pia ananitishia kuniua iwapo sitasitisha mawasiliano na huyu mzungu pamoja na kuacha mara moja kutembelea blogu ya uturn. Hataki hata urafiki wangu na yeyote ambaye ana uhusiano na huyo dada mwenye blog ya u-turn. Anasema heti nikiendelea kutokumsikiliza ataniua na huyu mzungu, wakati mzungu wa watu hana hatia yoyote? Jmani huu si ni ubaguzi wa rangi? kwa nini anifukuze au kuniua, kisa urafiki na mtu wa rangi tofauti, hii kweli ni haki? mm urafiki na mzungu siachi, na uturn siondoki, huu ni unyanyasaji wa kijinsia
Saf sn tena ingekua kure kwe2 mara acngeleta ujinga huo.tena kame shedadia u turn,siachi siachi kaende huko.Mumeo anajua athari za urafiki na huyo mzungu maana nyinyi hamchelewi kukimbilia ma vogue n.k. Ngoja upate kichapo kidogo ili kurudisha heshma home inaelekea hata huyo rafikiyo ni jeuri
Wanasema ukiwa muongo usiwe unasahau ulichokisema rejea post zako za nyuma ulivyosema kuhusu UTURN.mimi ni mshabiki wa blogu ya u-turn, ila mume wangu kwa muda wa miezi minne sasa amekuwa na kisirani kweli heti, kisa mimi kuitembelea hiyo tovuti ya uturn. sababu zake ni kwamba nina ujeuri. basi kuna rafiki yangu mmoja ambaye ameolewa na mzungu aliniita nyumbani kwake. shemeji yake ambaye pia ni mzungu alikuwepo hapo. tukapata vinywaji kidogo, na kubadirishana namba za simu na huyu shemeji yake. mara kadhaa tumewasiriana kama marafiki tu, mume wangu akatokea kuona text moja niliyotumiwa na huyu mzungu mabayo ilikuwa tu ni knijulia hali, matokeo yake kaja juu na kunipiga sana. Alinifukuza kwa siku 4, pia ananitishia kuniua iwapo sitasitisha mawasiliano na huyu mzungu pamoja na kuacha mara moja kutembelea blogu ya uturn. Hataki hata urafiki wangu na yeyote ambaye ana uhusiano na huyo dada mwenye blog ya u-turn. Anasema heti nikiendelea kutokumsikiliza ataniua na huyu mzungu, wakati mzungu wa watu hana hatia yoyote? Jmani huu si ni ubaguzi wa rangi? kwa nini anifukuze au kuniua, kisa urafiki na mtu wa rangi tofauti, hii kweli ni haki? mm urafiki na mzungu siachi, na uturn siondoki, huu ni unyanyasaji wa kijinsia
ushehe yahaya wangu unaniambia lazima huyu atakuwa kala mkorogo tu afanane na wazungu. ningekuwa mod ningempiga ban yeye na shangazi yake. nimekasirika kweli, yaani kama hii laptop si ya kuazima ningevunjilia mbali kwa hasira. (naomba unitulize mzuka keren)
mpendwa perfect, good advicePole sana na changamoto hii,
Naona umeandika kwa jazba sana. Hebu tulia kwanza,
Lakini
1. Mume alishakuonya kutembelea uturn
2. hapo kwenye bold red, Je ni kweli hauna jeuri?
Sitaki kumtetea mumeo, ila mkae chini muongee ni kwanini hataki utembelee U-turn?? Mi nakushauri msikilize mumeo, alikupenda wewe, haya mambo ya uturn yanapita tu, wazungu wanakuja na kuondoka,
kuwa makini na ndoa dada, wengine wanazitafuta usiku na mchana hata za kusingiziwa lakini wapi, japo hata kuminyiwa jicho, wewe unataka kuchezea ndoa yako?? Think twice.
Uliahidi kwenye kiapo cha ndoa kumtii, na hiyo ndio sifa kubwa! kuna kitu gani special uturn hadi ung'ang'anie kiasi hicho??