Hahaha! Umeonae, yaan mimi nnavyopenda kulala, huyo jamaa angekuwa ndio h'band wangu sahizi labda wana mtoto na h'gal, ntaachaje kulala nimlinde mtoto wa mwanamke mwenzangu ambae sijui hata kitovu kilitupwa wapi? Huyo jamaa ana lake jambo asee, anasubiri h'gal amalize kazi ili amkague au?
Huyo mume anabaki mpaka sa sita ili iweje?
Nimependa comment yako. Ila napenda tu akina mama wanipe majibu. Hivi ni sawa kumfanyisha house girl, ambaye ni minor, kazi kuanzia saa kumi alfajiri mkapa saa sita usiku kila siku - yaani siku saba za wiki? Hivi mahousegirl huwa hawafanyi mambo mazuri ya kupongezwa hata siku moja au ni kanuni za kawaida za kiutawala kuangalia makosa peke yake na kumgombeza? Je ukimpongeza housegirl mara moja moja kwa jambo zuri alilofanya utakuwa umekiuka kanuni? Am just being curious!
...lol,...mume si mlinzi wa familia? acheni ahakikishe usalama wa nyumba yake bana...
hata mimi nahakikisha usalama kwanza na wote wamekwenda kulala, ndio 'nahodha' naingia kulala!
Ndugu zanguni pamoja na kwamba tunapenda aman kwenye ndoa bado nimeona kuna haja ya somo la ufahamu kuwepo kwenye maisha ya kila siku ya wanandoa...leo nilikuwa na kikao na ndugu fulani mmoja wao akilalamika mumewe amekuwa akiingia kitandani saa tano ama sita wakati yeye amekuwa akiingia saa tatu..baya akaenda mbali kwa kusema amekuwa akisubiri mpaka dada wa nyumban amalize kazi aingie kitandan mwake ndie na yeye unasikia amezima taa.......Ukiwa kama wewe kabla ya kuendelea unalimalizaje hili swala..NBHAKUNA SIKU ALIOMKUTA NA HGIRL WAKIBUSIANA AMA KUFANYA TENDO OVU...KWAKO MWANA MAPENZI WA JF
Nimependa comment yako. Ila napenda tu akina mama wanipe majibu. Hivi ni sawa kumfanyisha house girl, ambaye ni minor, kazi kuanzia saa kumi alfajiri mkapa saa sita usiku kila siku - yaani siku saba za wiki? Hivi mahousegirl huwa hawafanyi mambo mazuri ya kupongezwa hata siku moja au ni kanuni za kawaida za kiutawala kuangalia makosa peke yake na kumgombeza? Je ukimpongeza housegirl mara moja moja kwa jambo zuri alilofanya utakuwa umekiuka kanuni? Am just being curious!
Ndugu zanguni pamoja na kwamba tunapenda aman kwenye ndoa bado nimeona kuna haja ya somo la ufahamu kuwepo kwenye maisha ya kila siku ya wanandoa...leo nilikuwa na kikao na ndugu fulani mmoja wao akilalamika mumewe amekuwa akiingia kitandani saa tano ama sita wakati yeye amekuwa akiingia saa tatu..baya akaenda mbali kwa kusema amekuwa akisubiri mpaka dada wa nyumban amalize kazi aingie kitandan mwake ndie na yeye unasikia amezima taa.......Ukiwa kama wewe kabla ya kuendelea unalimalizaje hili swala..NBHAKUNA SIKU ALIOMKUTA NA HGIRL WAKIBUSIANA AMA KUFANYA TENDO OVU...KWAKO MWANA MAPENZI WA JF
Hii iliwahi kunitokea. Kila nikirudi HG ndo ananifungulia afu anakuwa amepiga kanga moja, nikaona na udhaifu wetu wanaume itakula kwangu, nikapiga sura ya mbuzi nikapiga marufuku iyo tabia. Mpaka leo ni wife tu ndo anaruhusa ya kunifungulia. Unajua hatari nyingine wake zetu ndo wanazisababisha bana!mimi huwa najiuliza hili...
kwa nini housegirl aje kumfungulia mlango 'mume'????
why her?
kwa nini mama mwenye nyumba usihakikishe housegirl analala mapema
na unampiga marufuku 'kumfungulia' mume mlango??????
chakula ipi jamani mmenichanganya kuweni wa wazi -panadol ama??
We kuwa mvivu ka Mr wako halafu singizia beki 3 utashangaa..Unaleta tabia za umama zaidi wakati mzee bado anajiona chaliii..Atafuata beki 3 wa jirani.Sijui na jirani utamwambia amfukuze beki 3 wakeeee...teheeee..!!niliapa beki tatu ndani ya nyumba yangu marufuku....nsijepata kesi bure
chakula ipi jamani mmenichanganya kuweni wa wazi -panadol ama??
Haya ya mume kumuonea huruma h/girl ni uzinzi tu. Period!
Simple! Awe anabaki na mume wake mpaka wote waende kulala the same time. Yeye anakimbilia kwenda kulala saa 3 kwa nini, kwani ye mtoto wa shule? Watu wazima mkienda kulala saa 3 watoto walale saa ngapi?