mume wangu jamani


Ahsante sana haya mambo nimefanya sana ndugu yangu, si unajua binadamu akiamua jambo lake haijalishi unamfanyia nini. ushauri mzuri taufanyia kazi aiseee
 
Ingieni kwenye website ya SCOAN Nigeria T.B.JOSHUA, then jazeni form zao nendeni na mumeo; gharama yenu ni return ticket mbili za ndege mkifika kule kila kitu mnahudumiwa kwa gharama ya kanisa. mkapate uponyaji wa bwana yesu kupitia mtumishi wa mungu. poleni sana ni maisha ndio yalivyo GAGA
 

Naangaliaga vipindi vyake huwa napenda sana nashukuru yamekwisha howard
 
eti dada kwanini msingeshauriana muende mkapate kikombe kwa babu?
 
Pole dada pia thread yako ni mojawapo iliyonifanya nijiunge huwa nakuzimia sana gaga. nina imani mume ameshaachana na yule mwanamke wa nje na wewe pia ubadilike ili ndoa yenu iwe ya amani. nina dada yangu ana tatizo kama lako nae ameshazoea anaishi tu maisha yake ila kasema kwa mumewe haondoki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…