Jamani najisikia wivu sana huyu x anavyozoeana na mume wangu, ameolewa ana mtoto, akihitaji ushauri lazima amconsult mr kwanza, hata kuapply kazi mr amsaidie kuandika barua. Ni wivu tu unanisumbua jamani
Jamani najisikia wivu sana huyu x anavyozoeana na mume wangu, ameolewa ana mtoto, akihitaji ushauri lazima amconsult mr kwanza, hata kuapply kazi mr amsaidie kuandika barua. Ni wivu tu unanisumbua jamani
Mumeo anakosea kabisa. Kwa nini unaendekeza udhalilishwaji wa namna hiyo? Hivi wewe huna wako wa zamani? Kama huna tafuta na wewe rafiki mpya atakayekuwa anakushauri, kukusikiliza ukitaka sikio la kukusikiliza, na bega la kuinamia endapo utalihitaji. Au huwezi kufanya hivyo?
Kwa mengine zaidi niPM
kile batani cha thanks sikioni,Mom umejuaje yote hayo? Mumeo huwa anakuambia? Huy X unamfahamu?
Kama ni hivyo, mshukuru Mungu, hakuna ubaya wowote unaotokea kati yao....Punguza wivu!
Sisi wazee wa infidelity, wake zetu hawapati nafasi ya kuwajua ma-x wetu! Ni mwiko, hasa ukizingatia kuwa imani yetu kuu ni kuwa mahawara huwa hawaachani, kuna kitu kinaitwa baby come back ambacho ni msingi imara wa kanuni za chama chetu....!
Rest assured, mumeo hafanyi lolote kwa huyo X wake. Haya Gonga senksi kama ishara ya kunielewa!
NN, wataka nifanye revenge? no pse
Jamani najisikia wivu sana huyu x anavyozoeana na mume wangu, ameolewa ana mtoto, akihitaji ushauri lazima amconsult mr kwanza, hata kuapply kazi mr amsaidie kuandika barua. Ni wivu tu unanisumbua jamani
NN, wataka nifanye revenge? no pse
kile batani cha thanks sikioni,
huyu ni x wake b4 mi cjatawala hapa, my mr si mpenzi wa kukaa chini aanze kudraft application so aliomba nimsaidie maana mi ndie hua nafanya application zake nyingi nilipouliza yanani akajibu nikamwambia mwambie aniombe mwenye.
lakini huyu dada ataka nn wakati ana kwake?
ah bibi weew acha habari zako dahh ..iweje unaacha hali iyo?
kemea tena ukemee haraka sana wenzako wanadinyana hao wala hawajaachana ni apo tu unakuta msg lakin wenzako wanaonana uko nje km kawa
bado wanapendana thou uyu kaoa na uyu kaolewa...si consultation ya mambo hayo tu bali ni HELP N CONSULTATION YA KILA KITU...
ongea nae bibi tena charuka utake maelezo ya kutosha lakin kwa kutumia akili ya darasa la pil b tu apo ao bado ni wapenz tena wapenz haswaa
dah wewe ebu amka umkemee shetan kungali asubuhi asije shetan akajenga makao apo mbwga ukabaki A WIFE BY TITLE BT WIFE BY LOVE NI UYO X WAKE
Mimi namjua jamaa fulani baada ya kutoka kusoma masters Ulaya aliamua kuacha kazi ya serikali aliyokuwa anafanya akatafuta kazi kwenye NGO. Alipoipata, alikuta bosi wake ni jamaa aliyekuwa boyfriend wa mkewe, tena anamfahamu vizuri. Jamaa alikuwa very uncomfortable na situation ile, lakini bosi alikuwa anamchukulia kawaida na tena anampa assignment nyingi zenye pesa ya maana. Siku moja ikatokea vacancy pale kwenye NGO, bosi akamshauri jamaa amwambie mkewe aombe ile kazi, tena ilikuwa na mshiko mzuri, na akamhakikishia kuwa angempa hiyo kazi. Jamaa haku-comment, lakini alipofika nyumbani akakuta mkewe tayari ana taarifa hizo na amesha-draft barua ya kuiomba hiyo kazi. Huo mtiti uliofuatia ilikuwa balaa! Wivu mbaya jamani!
mbwiga ni neno la kiswahili hasa pwani ya afrika mashariki katika tz hasa utumika na wazaramo,wamatumbi,wakwere na wengneo katika upande wa pwaniUnikosha sana jinsi unavypanga mipoint yako (na kuchomekea vistori vitamu vitamu) ila inabidi nitafute microscope kupitia maelezo yoote bila kuacha hata herifu moja.
Kwenye red...hiyo ndiyo nini?
Retired Maj Gen DC (1947)
Jamani najisikia wivu sana huyu x anavyozoeana na mume wangu, ameolewa ana mtoto, akihitaji ushauri lazima amconsult mr kwanza, hata kuapply kazi mr amsaidie kuandika barua. Ni wivu tu unanisumbua jamani
Unanikosha sana jinsi unavypanga mipoint yako (na kuchomekea vistori vitamu vitamu) ila inabidi nitafute microscope kupitia maelezo yoote bila kuacha hata herifu moja.
Kwenye red...hiyo ndiyo nini?
Retired Maj Gen DC (1947)
mbwiga ni neno la kiswahili hasa pwani ya afrika mashariki katika tz hasa utumika na wazaramo,wamatumbi,wakwere na wengneo katika upande wa pwani
likimaanisha bibi lakini pia linamanisha
mbwiga=shoga,rafiki,
mmh sasa leo ndiyo nimejitahidi kukisimamisha kiswahili sanifu sasa mom km ngumu kunielewa tena apo ahh sjuii nfanyaje sasa?Lugha ya rose ngumu! najaribu kulewa labda nitaelewa