Mom...charuka mapema...hakunaga mazoea ya kawaida ya watu waliokwishakuwa wapenzi....(ni wachache sana tena sana)utakuja ambiwa shetani alinipitia...mie nilifanya kabisa kumpigia cm, na nikamwambia kabisa cku nikikuta msg au calls zako humu nitakufungia safari, walianzaga hivi hivi, mara vi sms mara vi calls, mara cjui wanaagizia nini ukija huku uniletee mana huko ndio original,cjaonaga sms wala calls zake tena, ni wakati wa kila mtu kushika lake, ameolewa/ameoa sasa nini tena....
kibongo bongo ckubaliani nayo, inategemea mmeachanaje...
ahh nyamayao bwana ni haya matatizo tu MPAKA YANAMFANYAGA BUBU KUONGEA....!!!!una maneno Rose...lol..
Jamani hii imenikumbusha maumivu niliyonayo mpaka sasa hivi, mume wangu anawasiliana kwa karibu sana na hawara yake na hata akigombana na mwenza wake mshauri wake ni mume wangu. inauma sana msisikie tafadhali ficheni wenza wenu wasijue! kama humpendi mwenzako ni bora umwambie aanze mbele kuliko kujifanya huwasiliani nae kumbe raha zenu kwa kwenda mbele! God forbid. Mungu awalaani wote na wafumaniwe siku moja laivu bila zengwe!
Hapa ofisini nina mabosi wangu wawili walikuwaga wapenzi huko chuo tena na mtoto wakazaa. Sasa hivi kila mmoja ana ndoa na mtu tofauti, lakini naona wako poa tu, huyu mama ndiye bosi mkuu akisafiri anamwachia X wake ofisi anakaimu. Na sijawahi kusikia hata tetesi za mapenzi baina yao, wanapiga kazi tu. Na wanayo maelewano mazuri ya kikazi. Mdogo wa bosi mkuu (mama) alifanyiwa send-off majuzi, na huyu x-wake alikuwa very active kwenye kamati. Ukosefu wa ustaarabu ni tabia binafsi, sio kila mtu yuko hivyo.
Hapa ofisini nina mabosi wangu wawili walikuwaga wapenzi huko chuo tena na mtoto wakazaa. Sasa hivi kila mmoja ana ndoa na mtu tofauti, lakini naona wako poa tu, huyu mama ndiye bosi mkuu akisafiri anamwachia X wake ofisi anakaimu. Na sijawahi kusikia hata tetesi za mapenzi baina yao, wanapiga kazi tu. Na wanayo maelewano mazuri ya kikazi. Mdogo wa bosi mkuu (mama) alifanyiwa send-off majuzi, na huyu x-wake alikuwa very active kwenye kamati. Ukosefu wa ustaarabu ni tabia binafsi, sio kila mtu yuko hivyo.
huo muda wanaupatia wapi kukaa na kushauriana yote hayo, wakimalizana kushauriana watataka kufarijiana....pweeehhh mie ctaki kabisa.
Mumeo anakosea kabisa. Kwa nini unaendekeza udhalilishwaji wa namna hiyo? Hivi wewe huna wako wa zamani? Kama huna tafuta na wewe rafiki mpya atakayekuwa anakushauri, kukusikiliza ukitaka sikio la kukusikiliza, na bega la kuinamia endapo utalihitaji. Au huwezi kufanya hivyo?
Kwa mengine zaidi niPM
Mtu b nakuelewa....lakini ni wachache sana kwenye jamii yetu wanaiweza hiyo, wachache sana,nina mifao kama mi3....tahadhari ni muhimu.
ahh nyamayao bwana ni haya matatizo tu MPAKA YANAMFANYAGA BUBU KUONGEA....!!!!
Mom...charuka mapema...hakunaga mazoea ya kawaida ya watu waliokwishakuwa wapenzi....(ni wachache sana tena sana)utakuja ambiwa shetani alinipitia...mie nilifanya kabisa kumpigia cm, na nikamwambia kabisa cku nikikuta msg au calls zako humu nitakufungia safari, walianzaga hivi hivi, mara vi sms mara vi calls, mara cjui wanaagizia nini ukija huku uniletee mana huko ndio original,cjaonaga sms wala calls zake tena, ni wakati wa kila mtu kushika lake, ameolewa/ameoa sasa nini tena....
Hawa mabosi wangu kwa kweli huwa nawachukulia kama role models wangu maana licha ya kuwa nao katika profession moja, nimepitia pia maisha hayo ya kupata girlfriends na kuachana nao na ningependa wawe marafiki zangu wa kawaida, sitaki kuishi maisha ya hofu kuwa nikionekana nasalimiana na x wangu watu waanze kunifikiria kuwa nataka kukumbushia na mambo kama hayo. Hawa walipata hadi mtoto lakini hawakumbushii. Kwa nini hutaki kuamini kuwa inawezekana kutokumbushia?
naamini lakini kwangu tahadhati muhimu kwani pia ya kupasha kiporo nimeyaona mengi sana kuliko hayo ya ma boc zako...na mie mwenyewe nina X ambae ameoa/nimeolewa lakini hachoki kuataka kukumbushia...soo kwangu tahadhari ni muhimu.
sihitaji msaada wa x wangu maana yupo available sana kama ningemhitaji. ni hivi najisikia wivu x wa mume wangu anavyomganda kwa sababu binafsi nisingependa kuzoeana na x wangu kihivyo, nikihitaji ushauri mume wangu ni mshauri wangu wa kwanza!
Hapo ndio huwa nakuheshimu sana Da Nyamayao,
You ara a no nonsense soldier! Kwa nini watu walete mzaha kwenye mambo yanayogusa hisia na uhai wa wenzao. Mie sitaki kusikia hata siku moja. Ila ukweli uko pale pale, a phone call of your X is so sweet! La muhimu ni kukinga mapema kuliko kuja kuhangaika na tiba!
Retired Maj Gen DC (1947)
Jamani najisikia wivu sana huyu x anavyozoeana na mume wangu, ameolewa ana mtoto, akihitaji ushauri lazima amconsult mr kwanza, hata kuapply kazi mr amsaidie kuandika barua. Ni wivu tu unanisumbua jamani
Nyamayao unatuhukumu vibaya. Si kila mwanaume yuko hivyo. Mi japo sijaoa, nimewahi kuwa na girlfriends, wengine sasa wameolewa. Kiukweli akiniomba ushauri nitampa vizuri tu na nakuhakikishia sitamtaka naniliu yake maana kiukweli hata sijisikii, yaani atakuwa kama dada yangu tu.