Huyu wa kwako sio mstaarabu, kumbe basi ndiye amesababisha wote tuhukumiwe vibaya. Wengine hatuko hivyo, nakuhakikishia Nyamayao.
sihitaji msaada wa x wangu maana yupo available sana kama ningemhitaji. ni hivi najisikia wivu x wa mume wangu anavyomganda kwa sababu binafsi nisingependa kuzoeana na x wangu kihivyo, nikihitaji ushauri mume wangu ni mshauri wangu wa kwanza!
hayo mambo ndio nicyoyataka sasa/cyapendi kabisa....cku nilipom call huyo X nilim call kupitia cm ya mr, unajua alivyochekelea?.."hallow sweet, nilikumiss sana" alopockia namwambia huongei na sweet wako unaongea na mama mtoto alikata cm kwa shock, nilimtumia sms nikamwambia nakucall na plz pokea cm yangu tuongee kiutu uzima na ucjaribu kukata call yangu....sweet my foot...Mom gangamala.
Mom hata si wivu shosti ni haki yako kulinda mbuzi wako na mbwa mwitu au chui dada. Mweleze mumeo si sawa afanyavyo hakuna urafiki wa chui na mbuzi ladba paradiso dada.Jamani najisikia wivu sana huyu x anavyozoeana na mume wangu, ameolewa ana mtoto, akihitaji ushauri lazima amconsult mr kwanza, hata kuapply kazi mr amsaidie kuandika barua. Ni wivu tu unanisumbua jamani
hiyo anayofanya mme wake ni dharau sana huwezi kuwa unamweka karibu mtu ambaye alikuwa nae zamani kimapenzi kama mshauri wako ktk maisha wanakuonea tu wewe mdada kwa kuwa naona wamekuona hushtuki kirahisi. Huwezi kufanya kitu kama hiki kwa mwenza wako kwa kuwa na wewe mfano ukifanya hivyo kama anavyofanya kwa X wako atajisikia vp. Jaribu kufanya kama alivyofanya Nyamayao inaweza kukomesha hiyo kitu milele daima
Hivi mie nitakuja kuoa kweli? It seems nimejua too much too soon! Na umri unavyoongezeka ndivyo na woga wa kuoa unaongezeka!
Hivi mie nitakuja kuoa kweli? It seems nimejua too much too soon! Na umri unavyoongezeka ndivyo na woga wa kuoa unaongezeka!
Oa tu kaka ili nawewe upate chance ya kusaidia ma-x
Oa tu kaka ili nawewe upate chance ya kusaidia ma-x
You are being naive man!... Haya mambo siyo rahisi ki hivyo.
Retired Maj Gen DC (1947)
so utatumia mke wa kakako?au utaenda shirikan?acha utoto bwana cha kufanya tafuta malaika wako atakaye kuwa mkweli kwako mbona utajuuuuuta dahh siku zote ulikuwa wap??ningekuoa tangu nikiwa form one....kuwa makini na mpango wa kuoa uufufue cha msing tafuta wakwako.Hivi mie nitakuja kuoa kweli? It seems nimejua too much too soon! Na umri unavyoongezeka ndivyo na woga wa kuoa unaongezeka!
Umedata wewe! Daaaah!Sorry Jamani unajua nilikuwa nakonfyuz hapa...hivi ma-x ndo kina nani hao, unajua mimi ni Y
Ni kweli mkuu wangu, I accept my naivety. Nimejifunza mengi lakini, yote kwa mtindo wa kuweka mambo hadharani. Bado hili la kuoa.
Simple,
Mom amweleze mume wake kuwa atampigia mume wa huyo mwanamke amuulize kama ana taarifa kuwa anakujaga kuomba ushauri kwa eX wake. Nina hakika mume wa huyo X hajui ila wanamwonea Mom, sijui wamemwonaje. Jamani akina Nyamayao, Rose msaidia Mom akulianzishe hawa watu waache utani wa kuchezea gwaride kwenye sitting room za wenzao!
Jamani najisikia wivu sana huyu x anavyozoeana na mume wangu, ameolewa ana mtoto, akihitaji ushauri lazima amconsult mr kwanza, hata kuapply kazi mr amsaidie kuandika barua. Ni wivu tu unanisumbua jamani
kile batani cha thanks sikioni,
huyu ni x wake b4 mi cjatawala hapa, my mr si mpenzi wa kukaa chini aanze kudraft application so aliomba nimsaidie maana mi ndie hua nafanya application zake nyingi nilipouliza yanani akajibu nikamwambia mwambie aniombe mwenye.
lakini huyu dada ataka nn wakati ana kwake?
inakera sana, halafu huyu X wa mr alitaka kunitengenezea mazingira ya kumwamini, anacall muda anaojickia, utakachoona call c ya kawaida hata kabla hawajasalimiana utackia mr anasema" hallow fulani, eehh nipo home, na wife yupo tumepumzika kdgo, vipi wewe huko"".....na maongezi yatakuwa mafupi sana mpaka utajiuliza amemcal ili iweje na hakuna cha maana walichoongea...mr akimaliza hapo na yeye kutaka kumalizia kunifunga utackia""fulani anakusalimia""mxxssiii....khaaa...nilienda nae mdogo mdogo cku nilipomtolea hacra nikamwambia sasa ukitaka nimcal hata mume wako sasa hivi naweza na nikaanza kukuharibia kabla cjamaliza kuharibu mazima tutakapokutana face 2face...nikamtajia na no ya mumewe...msamaha zilifululizo hapo ..".ooh jamani bac yaishe"...anabaki kushangaa no ya mume wake nimeipatia wapi na watu tupo mbali....