MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Babu hii miwani yako sasa itabidi tui-BAN maana hukawii kutuona tupu wakati tupo behind ze skrin loohDuh! Hapa sitii tena neno!
Kwamba mmeo hapendi kudraft applications, na ex wake naye hapendi kudraft applications!!
What a Coincidence!!
inakera sana, halafu huyu X wa mr alitaka kunitengenezea mazingira ya kumwamini, anacall muda anaojickia, utakachoona call c ya kawaida hata kabla hawajasalimiana utackia mr anasema" hallow fulani, eehh nipo home, na wife yupo tumepumzika kdgo, vipi wewe huko"".....na maongezi yatakuwa mafupi sana mpaka utajiuliza amemcal ili iweje na hakuna cha maana walichoongea...mr akimaliza hapo na yeye kutaka kumalizia kunifunga utackia""fulani anakusalimia""mxxssiii....khaaa...nilienda nae mdogo mdogo cku nilipomtolea hacra nikamwambia sasa ukitaka nimcal hata mume wako sasa hivi naweza na nikaanza kukuharibia kabla cjamaliza kuharibu mazima tutakapokutana face 2face...nikamtajia na no ya mumewe...msamaha zilifululizo hapo ..".ooh jamani bac yaishe"...anabaki kushangaa no ya mume wake nimeipatia wapi na watu tupo mbali....
Duh! Hapa sitii tena neno!
Kwamba mmeo hapendi kudraft applications, na ex wake naye hapendi kudraft applications!!
What a Coincidence!!
Mie leo nimevaa gauni babu but ntakujibuNaomba kuwaulizeni nyie wavaa masketi...
Hao Ma-ex wa waume zenu mliwajulia wapi?
Hivi mie nitakuja kuoa kweli? It seems nimejua too much too soon! Na umri unavyoongezeka ndivyo na woga wa kuoa unaongezeka!
Wanasema 'birds of a feather flock together'. Hii compatibility inamtisha Mom. Lakini anapaswa kukumbuka pia kuna a lot of incompatibility kati ya mumewe na huyo ex, ndiyo sababu hakuoa huyo. Mimi ningemshauri Mom awe na amani tu.
Jamani najisikia wivu sana huyu x anavyozoeana na mume wangu, ameolewa ana mtoto, akihitaji ushauri lazima amconsult mr kwanza, hata kuapply kazi mr amsaidie kuandika barua. Ni wivu tu unanisumbua jamani
wala usiogope Mtu B, mie natamani ningeyajua haya kabla maana wala nisingeumia ila niliingia kwenye ndoa nikijua ni heaven!
inakera sana, halafu huyu X wa mr alitaka kunitengenezea mazingira ya kumwamini, anacall muda anaojickia, utakachoona call c ya kawaida hata kabla hawajasalimiana utackia mr anasema" hallow fulani, eehh nipo home, na wife yupo tumepumzika kdgo, vipi wewe huko"".....na maongezi yatakuwa mafupi sana mpaka utajiuliza amemcal ili iweje na hakuna cha maana walichoongea...mr akimaliza hapo na yeye kutaka kumalizia kunifunga utackia""fulani anakusalimia""mxxssiii....khaaa...nilienda nae mdogo mdogo cku nilipomtolea hacra nikamwambia sasa ukitaka nimcal hata mume wako sasa hivi naweza na nikaanza kukuharibia kabla cjamaliza kuharibu mazima tutakapokutana face 2face...nikamtajia na no ya mumewe...msamaha zilifululizo hapo ..".ooh jamani bac yaishe"...anabaki kushangaa no ya mume wake nimeipatia wapi na watu tupo mbali....
soma vizuri signature yako..."[FONT=arial,helvetica][FONT=arial,helvetica]I'm not afraid of storms, for I'm learning to sail my ship[/FONT][/FONT]" so why worry, pambana na situation kwa kumweleza wazi mumeo kuwa hupendezwi na tabia hiyo
wewe bwana u si wivu ni kwamba unalinda mali yakotrue ndugu am not afraid of the storms ndio maana nimefika hapa, ila wivu juu ya mume wangu unanisumbua!
we hunifikii, huyu dada ni role model wangu to some extent! japo cmjui hanijui naona tumepitia mengi ya kuendana only that ye alikua strong nami nilikua weak!
wala usiogope Mtu B, mie natamani ningeyajua haya kabla maana wala nisingeumia ila niliingia kwenye ndoa nikijua ni heaven!
Naomba kuwaulizeni nyie wavaa masketi...
Hao Ma-ex wa waume zenu mliwajulia wapi?
Jamani najisikia wivu sana huyu x anavyozoeana na mume wangu, ameolewa ana mtoto, akihitaji ushauri lazima amconsult mr kwanza, hata kuapply kazi mr amsaidie kuandika barua. Ni wivu tu unanisumbua jamani
Napenda sana maisha ya Nyamayao...hakuna ambalo hajalipitia....
Lazima kuna ki2 si kizuri kinaendelea kati ya mr wako na huyo x wake, tell him 2 stop that kind of closeness otherwise the guyz will recall their memories of some years ago.
Uzoefu unaonesha kuwa wapenzi wa zamani hupotezana tu si kuachana kabisa, so be carefull mama utaambulia matokeo hasi.