[emoji276][emoji276]
Mungu alifikiri sana asee kuzaliwa kwetu binadam Kwa mfano ingekua mwanamke ataga mayai ndio tutotolewe tungekuwa wachache sana huku duniani vile wanaume tunavyo jipenda[emoji12][emoji117]ungeskia mke wang umetaga mangapi leo!![emoji12][emoji12]mke.[emoji117]ma4
Mume.[emoji117]nikaangie matatuu[emoji23][emoji23][emoji23]