Mungu anajibu maombi,shemeji yenu kanichumbia



Hongera
 

sawa mtumishi,umeeleweka vizuri kabisa,ubarikiwe.
 
ni kweli BE hata mie nimeshashahudia mauchumba mengi yakivunjika,lkn huu wa kwangu umesimikwa kwa damu ya Yesu,Hautavunjika hata kwa kifo,maana mim na mume wangu tukifa ktk mwili tutakutana tena mbinguni kwa baba.Mungu apewe sifa maana anastahili.

Hongera Sana Cheusimangala

Hapo bold umenikumbusha Wimbo wa Tenzi za Rohoni: Watakatifu twonane mtoni...

Cha Msingi mdogo wangu Cheusi ni UPENDO:


"... Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za malaika..." 1 Wakorintho 13:-
 
Hongera sana cheupe,...ops cheusiManga,...
Usisahau hata stage moja ya maisha yako kumshirikisha Mungu,...

Nasubiria majibu kabla ya kwenda kupima na wifi yako mwezi ujao so
i hope ntatoa pete soon pia
(mmh,natetemeka balaa hapa)

asante mkuu,hongera kwa hatua unayokaribia kufannya.Mungu akutangulie.usitetemeka kupima ndo ujanja wenyewe.
 
Hahaha!!! Kwahiyo wewe utakuwa bestman kwenye harusi ya cheusimangala halafu yeye atakuwa matron wa Hus kwenye harusi yako hapo ngoma droo lol!!!

uporoto ni mwanaume anaweza kujikaza akawa best manmlkn mm kuwa matron wa Hus,inabidi niandaliwe vizuri kisaikolojia maana naweza kujikuta natoa kipingamizi ndoa isifungwe pale mch. atakapouliza kama kuna mwenye kipingamizi.mm na uporoto tumetoka mbali sema tu hakuiona dhamani yangu hadi sasa wengine wamenichukua ndo anaona almas aliyoipoteza LOL
 
Hongera Sana Cheusimangala

Hapo bold umenikumbusha Wimbo wa Tenzi za Rohoni: Watakatifu twonane mtoni...

Cha Msingi mdogo wangu Cheusi ni UPENDO:


"... Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za malaika..." 1 Wakorintho 13:-


Baba E ni wewe? gosh!....Cheusimangala hii ndoa yako itadumu milele...Amen.
 
Hapa sasa cheusimangala hommie wangu Fidel kwa statement hii ngoja nimsubiri nione atajibu nini lol!!!

uzuri wa fidel ukimpa ofa,hakomoi.ila safari hii anaruhusiwa hata akitaka kukumoa,niko kwenye pozi la furaha,chochote ntatoa.
 
Hongera sana dada, safari ndiyo imeanza sasa kama nikuomba omba zaidi ya vile ulivyoomba mpaka kufikia hatua ya kukuvisha pete. Inaonekana maombi ndiyo catalyst ya kumfanya kukuvika pete. Ukipunguza tu! urudi hapa.
 
Hongera sana dada Cheusi.....usinisahau kwenye kamati ya udirink
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…