Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,852
Mpendwa hongera sana nimekufurahia sana sana ingawa nina wazo moja...unajua shetan ni mbaya sana na hili nawasaidia hata mnaokwenda kwenye interview kuitwa kwenye interview bi tofauti na kupata kazi na hili shetan anawaangamiza sana kivipi...mpendwa maombi yangu uje kuwa mama wa afamilia yenye watoto wasiohesaabika wanaotunzwa vizuri kamaa mamaa didy....kumbuka sasa umeanzisha vita na shetan akai kimya muda huu ni mgumu kuliko muda uliokuwa ukiomba mungu mzee atoe matumaini..kumbuka shetan hana adabu anaweza kuwaruhusu kwenda mpaka kanisani wakati wa kuulizwa bado mwanaume huyu akaulizwa upo tayari kuishi na kukaa na binti nanii kwa shida na raha akasema
""hapana"" najua utaogopa lakini wewe ndie mwenye kuamuru aseme ndio....kuficha siri ni vizuri sana mwisho wa siku shetan anaona aibu pale unapomeremeta na kumhakikishie imekula kwake..
Ukisoma kwenye kitabu cha biblia yussuf alioteshwa atakuwa mkuu kuliko wote..mistake aliofanya ni kwenda kuwambia wazazi wake kwamba ipo siku atakuwa mkubwa na wao watamsikiliza wewe wewe ukisoma utajua yaliomtokea ingawa ukweli haklisi alikuja kuwa waziri mkuu baada ya kutaka kuuwawa na baada ya kuokoka kwenye kuuwawa akaamuliwa atupwe baharini...sipendi mzee atutupe baharini natamani siku moja nije pale kanisani/msikitini nikashangalie mbaya hata lkama usiponialika nitafurahia na wewe kwenye ulimwengu wa roho mpaka jamaa mida ya saasita atakapoamuliwa sasa wanaharusi wakapumzike na wale wenye kupenda bia za bure hapo ndipo wanapoonyesha wamekuja kufanya nini
kila la kheri mungu akuzidishie na kukubariki ..nimekukumbusha hivi kwa nia njema kumbuke pemben ya huyo kulikuwa na yule na nyuma ya wewe kama si pemben yako kulikuwa na yuleeeeeeeeeeeeeeeee wote walitamani wavalishani pete
nikwambie shetna alivyo mbaya nina history ya mabinti wazur watatu wana maisha mazuri kazi nzuri wameishia kuvikwa pete jna jamaa wakala kona tena kwa party nzuri kkubwa
natangaza kwa jina la yesuuuuuuuuuu ninaemwamini alie hai isiwe kwako..wewe ni mshindi wew eni yule asiewezwa kama walisema uolewi watakuja kukuletea michango kamawalisema uzai watakuja kupigwa jua wakitafuta pampas na wipers za wanao mapacha in jesus name\wiki end njema
Ameeeen......fuata ushauri wangu lakini....