Mungu anawaona

Kuchuna kuna makubaliano[emoji15]
yeah kwani mtu anaibiwa si anatoa mwenyewe hiyo kauli ya kusema alaaniwe mwanamke anaemchuna mwalimu ni dalili ya dharau kwa walimu kana kwamba wao hawajitambui
 
Hahahahahahaaaa

Mwanaume atakula kwa jasho lake. Hata ile kitu ingine..eboo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…